Tangazo

Pages

Saturday, September 1, 2012

TIMU YA TAIFA YA MASUMBWI IKIWA MAZOEZINI

Bondia Selemani Kidunda kulia akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa kituo cha televisheni ya Mlimani walipotembelea mazoezi ya timu ya taifa ya masumbwi yanaoendelea katika viwanja vya GYM Khana Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Kocha wa ngumi Hassani Mzonge katikati akioneshana ufundi wa kutupiana masumbwi na Undule Langson wakati wa mazoezi ya timu ya taifa  kulia ni Abdallah Kasimu Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Kocha wa ngumi Hassani Mzonge katikati akioneshana ufundi wa kutupiana masumbwi na Undule Langson wakati wa mazoezi ya timu ya taifa  kulia ni Abdallah Kasimu Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Undule Langsonkushoto na Abdallah Kasimu wakioneshana uwezo wa kutupiana masumbwi wakati wa mazoezi ya timu ya taifa

No comments:

Post a Comment