Tangazo

Pages

Wednesday, April 3, 2019

ROJAS MASAMU ATAMBA KUMZIMISHA KWA K,O IDD MKWERA YA MAPEMA SANA SIKU YA PASAKA APRIL 21

Bondia Ramadhani Mbegu 'kushoto' akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Idd Mkwera wakati wa mazoezi ya kujiandaa na mapambano yao yatakayofanyika siku ya pasaka April 21 katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu magomeni Mapipa Mbegu atacheza na Rashidi Mnyagatwa na Mkwera atapambana na Rojas Masamu 

Bondia Idd Mkwera  'kushoto' akioneshana umwamba wa kutupiana makonde naRamadhani Mbegu wakati wa mazoezi ya kujiandaa na mapambano yao yatakayofanyika siku ya pasaka April 21 katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu magomeni Mapipa Mbegu atacheza na Rashidi Mnyagatwa na Mkwera atapambana na Rojas Masamu 

Bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Shehe Azizi wakati wa maoezi yao ya kujiandaa na mapambano yao yatakayofanyika siku ya Pasaka April 21 katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu Kiwale atapambana na Luckman Ramadhani na Azizi atapambana na Hussein Shemdoe


Na Mwandishi Wetu

Bondia Rojas Masamu ametamba kumsambalatisha Idd Mkwera katika raundi za awali kwani ataki kuwapa tabu majaji akisungumzia mpambano wake uho Masamu amesema kuwa kwa sasa yupo fiti na ana uchu wa kupambana yani kipigo nitakacho mpa mkwera atokuja kuki sahau mpaka anaingia kaburini najiamini kwa kuwa nimefanya mazoezi ya kutosha na nipo vizuri kila idara hivyo ajipange tu kwa kipigo

nipo kambini sasa yapata miezi miwili kwa ajili ya mpambano uhu asichukulie poa kabisa kwani kwa sasa nimeongeza dozi ya kufanya mazoezi nilikuwa nafanya mara mbili kwa siku lakini kwa sasa nafanya mara tatu kwa kuwa nataka kumpiga kwa K,O mbaya ambayo itawashangaza wapenzi na mashabiki wa mchezo wa ngumi


Mpambano uho ulioandaliwa na Promota wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa pambano hilo litafanyika siku ya sikukuu ya Pasaka limepewa nguvu na 

Bondia Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia  bondia huyo ndie aliesababisha mabondia hawo wazipige siku hiyo kwa kuwa vijana wanatakiwa kuendeleza rekodi zao za masumbwi kila wakati ndio mana akaongeza nguvu ili mpambano uho ufanyike

Super D aliongeza kwa kusema kuwa mbali na pambano hilo siku hiyo kutakuwa na mapambano mbalimbali yatakayokuwa yanafanyika siku hiyo ambapo bondia Hussein Pendeza atamkabili Juma Ramadhani 'Choki' na Shomari Milundi ataoneshana umwamba na Bakari Mbede wakati ibrahimu Makubi atavaana na Haruna Ndalo na Ramadhani Mbegu 'Migwede' atakabiliana na Rashidi Mnyagatwa na Salum Tandu zidi ya Gerald Mkude na Sunday Kiwale 'Moro Best' atalindima na Luckman Ramadhani Vicent Mbilinyi na Shabani Mbogo Hussein Shemdoe na Shehe Azizi na Ahmadi Kombo atakumbana na Sandali Nyambala

Mapambano yote hayo yanaletwa kwenu na kampuni tanzu ya kizalendo ya Super D Boxing Promotion ambayo ipo nchini Tanzania kwa ajili ya kuinuwa vipaji ya vijana mbalimbali ili kuendeleza vipaji vyao pendwa

na kupitia kampuni ya Super D Promotion imejizatiti kuweka angalau pambano moja kila baada ya miezi milili ili kuwasaidia vijana mbalimbali kukuza vipaji vyao na kujiendeleza kupitia mchezo uho wa masumbwi nchini



Monday, April 1, 2019

HUSSEN PENDEZA NA JUMA RAMADHANI 'CHOKI' KUZIPIGA PASAKA CCM MWINYIMKUU PASAKA APRIL 21

Na Mwandishi Wetu

MABONDIA Hussein Pendeza na Juma Ramadhani 'Choki' wametamba kila mmoja kwa wakati wake juu ya mpambano wao utakaofanyika April 21 siku ya sikukuu ya Pasaka katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu Magomeni Mapipa Dar es salaam

akizungumza kuhusu mpambano wake Juma Ramadhani 'Choki' amesema kuwa kwa sasa yani yupo fit mpaka yeye mwenyewe anajiogopa kutokana na mazoezi anayofanya kwani nimefanya mazoezi ya kutosha na nipo tayali kwa mpambano na yoyote yule sio huyu peke yake bondia yoyote yule alie katika uzito wangu nita akikisha nampiga kipigo cha mbwa mwizi kwa hivyo kaeni chonjo  vinginevyo nitawalalawa laluwa na sijaona katika uzito wangu wa kg 58 wa kunisumbua kwani ninajiamini na nina amini mazoezi ninayo yafanya

Choki amewaomba mashabiki wake wa manzese mabibo pamoja na mbagala kuu na mtoni kijichi wajitokeze kwa wingi kuja kumpa sapoti siku hiyo na wangalie nini anafanya katika mchezo uhu wa masumbwi nchini

nae Pendeza amesema kuwa ata akikisha anampiga kama beg kwa juma ni mtoto mdogo sana katika masumbwi hivyo atajuta kuzaliwa kwa kipigo nitakacho mpatia siku hiyo Pendeza aliongeza kwa kuwaomba mashabiki wake wote na wapenzi wa ngumi kujitokeza siku hiyo kuangalia jinsi anavyo msambalatisha kijana huyo


Mpambano uho ulioandaliwa na Promota wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa pambano hilo litafanyika siku ya sikukuu ya pasaka likiwa limepewa nguvu na 

Bondia Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia  bondia huyo ndie aliesababisha mabondia hawo wazipige siku hiyo kwa kuwa vijana wanatakiwa kuendeleza rekodi zao za masumbwi kila wakati ndio mana akaongeza nguvu ili mpambano uho ufanyike


Super D aliongeza kwa kusema kuwa mbali na pambano hilo siku hiyo kutakuwa na mapambano mbalimbali yatakayokuwa yanafanyika siku hiyo ambapo bondia  Idd Mkwera ataoneshana umwamba na Rojas Masamu na  Shomari Milundi ataoneshana umwamba na Bakari Mbede wakati ibrahimu Makubi atavaana na Haruna Ndalo na Ramadhani Mbegu 'Migwede' atakabiliana na Rashidi Mnyagatwa na Salum Tandu zidi ya Gerald Mkude na Sunday Kiwale 'Moro Best' atalindima na Luckman Ramadhani Vicent Mbilinyi na Shabani Mbogo Hussein Shemdoe na Shehe Azizi na Ahmadi Kombo atakumbana na Sandali Nyambala

Mapambano yote hayo yanaletwa kwenu na kampuni tanzu ya kizalendo ya Super D Boxing Promotion ambayo ipo nchini Tanzania kwa ajili ya kuinuwa vipaji ya vijana mbalimbali ili kuendeleza vipaji vyao pendwa

na kupitia kampuni ya Super D Promotion imejizatiti kuweka angalau pambano moja kila baada ya miezi milili ili kuwasaidia vijana mbalimbali kukuza vipaji vyao na kujiendeleza kupitia mchezo uho wa masumbwi nchini

KAZI KAZI NO PAIN NO GAIN SIKU YA PASAKA 21 APRIL

Date: 21/04/2019
Venue/ Ccm mwinyimkuu magomeni mapipa
Promoter: Rajabu Mhamila 'Super D' Company Super D Boxing Promotion
Commission: Tanzania Professional Boxing Regulatory Commission

SCHEDULE: Rings another Mwalimu Said Mr. TICHA DOKTA DORDAN MADONO 
1.iddy Mkwera vs Rojas masamu kg 63 rd 10
2. Vincent mbilinyi Vs shaban mbogo kg61 rd 4 3.Hussein pendeza vs juma ramadhani choki kg 58 rd 8 4.ibrahimu makubi vs haruna ndalu kg 58 rd6 5.shomali milundi vs Bakari mbede kg 63 rd6 6.idd. Mkwera vs Rojas masamu kg63 rd10 7.mbwana Chinenda vs Tyson frank kg58 rd4 8.sunday kiwale vs luckman ramadhanikg48 rd8 9.ramadhani mbegu vs Rashidi Mnyagatwa rd6 kg63 10. Hussein shemdoe vs shehe azizi kg 61 rd 4 11.sandar nyambala vs Ahmad kombo 12.hamis Abdul vs fele x babesh kg63 rd4 Promotion Rajabu Mhamila 'Super D' kwa maelezo zaidi call 0787406938 or 0754406938




























Monday, March 25, 2019

BONDIA IDDI MKWELA HATUA NCHINI NA KUPIGIA MIKWALA ROJAS MASAMU BAADA YA KUSHINDA KWA K,O KENYA



 Na Mwandishi Wetu
Bondia Idd Mkwera baada ya kumsambalatisha bila ya huruma Nicholas mwangi kutoka kenya kwa K,O ya raundi ya 2 wakati alipokuwa akicheza mpambano wa utangulizi wiki iliyopita katika mpambano wa Hassani Mwakinyo na Sergio Eduardo Gonzalez kutoka Argentina  na kufanikiwa kumdunda raundi ya 5 sasa amerudi nchini kwa ajili ya mpambano wake utakaofanyika April 20 katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu Magomeni Mapipa kukabiliana na Rojas Masamu

Katika mpambano wa raundi kumi uzito wa kg 61 

Mpambano uho ulioandaliwa na Promota wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa pambano hilo litafanyika siku hiyo likiwa limechagizwa na


Bondia Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia  bondia huyo ndie aliesababisha mabondia hawo wazipige siku hiyo kwa kuwa vijana wanatakiwa kuendeleza rekodi zao za masumbwi kila wakati ndio mana akaongeza nguvu ili mpambano uho ufanyike

Super D aliongeza kwa kusema kuwa mbali na pambano hilo siku hiyo kutakuwa na mapambano mbalimbali yatakayokuwa yanafanyika siku hiyo ambapo bondia Hussein Pendeza atamkabili Juma Ramadhani 'Choki' na Shomari Milundi ataoneshana umwamba na Bakari Mbede wakati ibrahimu Makubi atavaana na Haruna Ndalo na Ramadhani Mbegu 'Migwede' atakabiliana na Rashidi Mnyagatwa na Salum Tandu zidi ya Gerald Mkude na Sunday Kiwale 'Moro Best' atalindima na Luckman Ramadhani Vicent Mbilinyi na Shabani Mbogo Hussein Shemdoe na Shehe Azizi na Ahmadi Kombo atakumbana na Sandali Nyambala

Mapambano yote hayo yanaletwa kwenu na kampuni tanzu ya kizalendo ya Super D Boxing Promotion ambayo ipo nchini Tanzania kwa ajili ya kuinuwa vipaji ya vijana mbalimbali ili kuendeleza vipaji vyao pendwa

na kupitia kampuni ya Super D Promotion imejizatiti kuweka angalau pambano moja kila baada ya miezi milili ili kuwasaidia vijana mbalimbali kukuza vipaji vyao na kujiendeleza kupitia mchezo uho wa masumbwi nchini

BONDIA IDDI MKWELA HATUA NCHINI NA KUPIGIA MIKWALA ROJAS MASAMU BAADA YA KUSHINDA KWA K,O KENYA






 Na Mwandishi WetuBondia Idd Mkwera baada ya kumsambalatisha bila ya huruma Nicholas mwangi kutoka kenya kwa K,O ya raundi ya 2 wakati alipokuwa akicheza mpambano wa utangulizi wiki iliyopita katika mpambano wa Hassani Mwakinyo na Sergio Eduardo Gonzalez kutoka Argentina  na kufanikiwa kumdunda raundi ya 5 sasa amerudi nchini kwa ajili ya mpambano wake utakaofanyika April 20 katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu Magomeni Mapipa kukabiliana na Rojas Masamu

Katika mpambano wa raundi kumi uzito wa kg 61 

Mpambano uho ulioandaliwa na Promota wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa pambano hilo litafanyika siku hiyo likiwa limechagizwa na


Bondia Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia  bondia huyo ndie aliesababisha mabondia hawo wazipige siku hiyo kwa kuwa vijana wanatakiwa kuendeleza rekodi zao za masumbwi kila wakati ndio mana akaongeza nguvu ili mpambano uho ufanyike

Super D aliongeza kwa kusema kuwa mbali na pambano hilo siku hiyo kutakuwa na mapambano mbalimbali yatakayokuwa yanafanyika siku hiyo ambapo bondia Hussein Pendeza atamkabili Juma Ramadhani 'Choki' na Shomari Milundi ataoneshana umwamba na Bakari Mbede wakati ibrahimu Makubi atavaana na Haruna Ndalo na Ramadhani Mbegu 'Migwede' atakabiliana na Rashidi Mnyagatwa na Salum Tandu zidi ya Gerald Mkude na Sunday Kiwale 'Moro Best' atalindima na Luckman Ramadhani Vicent Mbilinyi na Shabani Mbogo Hussein Shemdoe na Shehe Azizi na Ahmadi Kombo atakumbana na Sandali Nyambala

Mapambano yote hayo yanaletwa kwenu na kampuni tanzu ya kizalendo ya Super D Boxing Promotion ambayo ipo nchini Tanzania kwa ajili ya kuinuwa vipaji ya vijana mbalimbali ili kuendeleza vipaji vyao pendwa

na kupitia kampuni ya Super D Promotion imejizatiti kuweka angalau pambano moja kila baada ya miezi milili ili kuwasaidia vijana mbalimbali kukuza vipaji vyao na kujiendeleza kupitia mchezo uho wa masumbwi nchini


BONDIA IBRAHIMU CLASS AFUDHU VIPIMO SASA RASMI KUPIGANA U.S.A MACHI 30


Bondia Mtanzania Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akifanyiwa vipimo nchini Marekani kwa ajili ya mpambano wake wa march 30 katika ukumbi wa  Fantasy Springs Casino, Iliyo nchini Marekani.

Bondia Mtanzania Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akifanyiwa vipimo nchini Marekani kwa ajili ya mpambano wake wa march 30 katika ukumbi wa  Fantasy Springs Casino, Iliyo nchini Marekani.

Bondia Mtanzania Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akifanyiwa vipimo nchini Marekani kwa ajili ya mpambano wake wa march 30 katika ukumbi wa  Fantasy Springs Casino, Iliyo nchini Marekani.

Na MWANDISHI WETU
 Bondia Mtanzania  Ibrahim Class (King Class Mawe)  ambaye yupo nchini Marekani kwa ajili ya mchezo wa masumbwi amefanyiwa vipimo kwa mara ya pili kwa ajili ya  kupanda ulingoni kuwania ubingwa wa dunia wa Baraza la Ngumi (WBC) kwa vijana 
Class atazichapa na bingwa mtetezi, Eduardo Hernandez, Machi 30 pambano la raundi 12 la uzani wa super feather litakalopigwa kwenye ukumbi wa Fantasy Springs Casino, Iliyo nchini Marekani.


Akizungumza moja kwa moja kutoka Marekani, Class alisema baada ya kuhitimisha vipimo kwa mara ya pili na kuthibitika yuko fiti anachosubiri ni siku ya mpambano uhu tu
"Nashukuru vipimo vimeenda vizuri, niko fiti, sina tatizo lolote na kinachosubiriwa ni kupanda ulingoni," alisema Class.
Alisema hana hofu na mpinzani wake ambaye hana rekodi ya kupigwa.


"Mimi ndio na kwenda kuvunja rekodi hiyo, nimemsoma mpinzani wangu kupitia video za mapambano yake ni Bondia wa kawaida sana kwangu tofauti na wanavyomzungumzia watanzania ambao awanielewi


Class kwa nchini Tanzania alikuwa akinolewa na kocha mkongwa wa masumbwi nchini Habibu Kinyogoli 'Masta' pamoja na kocha wa kimataifa wa mchezo huo Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye alikuwa anasimamia mapambano yake yote yaliyokuwa yakifanyika nchini mpaka kufikia levo ya kimataifa

Class amewahaidi watanzania kuwa wasiwe na wasiwasi nae kwani kwa sasa amepata ujuzi zaidi wa mchezo wa masumbwi baada ya kufanya mazoezi uko Marekani na makocha wa kizungu na kugundua mbinu mbali mbali watumiazo wenzetu

aliongeza kwa kusema kuwa mchezo wa ngumi kwake upo kwenye damu na yeye anakuwa mtanzania wa kwanza kucheza ndani ya U.S.A katika kipindi kirefu kilichopita

alisema mpambano uho umedhaminiwa na promota mkubwa Duniani Oscar Dela Hoya kupitia kampuni ya Golden boy Promotion hivyo sitopenda kuwangusha watanzania na kujiangusha mimi mwenyewe katika ulimwengu wa masumbwi naomba watanzania siku hiyo ikifika waniangalie kupitia luninga zao waone nini nakifanya katika Dunia hii