Mabondia Seleman Galile kushoto na Zumba Kukwe wakitunishiana misuli baada ya kusaini makubaliano ya kupigana january 2 katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondia Seleman Galile kushoto na Zumba Kukwe
wakitunishiana misuli baada ya kusaini makubaliano ya kupigana january 2 kwenye mpambano wa kufungulia mwaka utakaofanyika katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Hussein Mbonde kushoto wakitunishiana misuli na Shomari Milundi wakati wakitambulisha mpambano wao utakaofanyika january 2 katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia
Hussein Mbonde kushoto wakitunishiana misuli na Shomari Milundi wakati
wakitambulisha mpambano wao utakaofanyika january 2 katika ukumbi wa
frends corner manzese Dar es salaam katikati ni Pembe Ndava Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia
Hussein Mbonde kushoto wakitunishiana misuli na Shomari Milundi wakati
wakitambulisha mpambano wao utakaofanyika january 2 katika ukumbi wa
frends corner manzese Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondia Hussein Mbonde wa pili kulia na Shomari Milundi wakiwa na makocha wao kushoto ni Cristopher Mzazi na Mohamed Mbad mbade wakati wa utambulisho wa mpambano wao utakaofanyika january 2 katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akifanya usafi wakati wa zoezi la kufanya usafi wa mazingira ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya
miaka 54 ya Uhuru wa Tanzania kama alivyoagiza Mhe Rais Dkt. John Pombe
Magufuli, ambapo zoezi hilo limefanyika nchini kote hii leo
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' akifanya usafi wakati wa zoezi la kufanya usafi wa mazingira ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya
miaka 54 ya Uhuru wa Tanzania kama alivyoagiza Mhe Rais Dkt. John Pombe
Magufuli, ambapo zoezi hilo limefanyika nchini kote hii leo
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto na Shaibu Mbaruku wakifanya usafi wakati wa zoezi la kufanya usafi wa mazingira ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya
miaka 54 ya Uhuru wa Tanzania kama alivyoagiza Mhe Rais Dkt. John Pombe
Magufuli, ambapo zoezi hilo limefanyika nchini kote hii leo
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto na Shaibu Mbaruku wakifanya usafi wakati wa zoezi la kufanya usafi wa mazingira ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya
miaka 54 ya Uhuru wa Tanzania kama alivyoagiza Mhe Rais Dkt. John Pombe
Magufuli, ambapo zoezi hilo limefanyika nchini kote hii leo
Mabondia Shedrack Ignas kushoto akitunishiana misuli na Abdallah Luwanje baada ya kusaini mkataba wa kuzipiga januari 2 katika ukumbi wa frends corner manzese Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondia Shedrack Ignas kushoto akitunishiana misuli na
Abdallah Luwanje baada ya kusaini mkataba wa kuzipiga januari 2 katika
ukumbi wa frends corner manzese Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondia Hassan Salumu kushoto na Hassan Mgosi wakitunishiana misuli baada ya kusaini mkataba wa kuzipiga januari 2 katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es a salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS
Na Mwandishi Wetu
MABONDIA mbalimbali wa ngumi za kulipwa wamesaini mkataba wa mpambano wa kufungua mwaka kuzipika siku ya januar 2 mwakani katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaa
akizungu wakati wa kusaini mikataba hiyo mratibu wa mpambano uho Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa mabondia walio wasainisha kuwa ni Shedrack Ignas atakaepambana na Abdallah Luwanje na Hassan Salumu atakabiliana na Hassan Mgosi nae Shomari Mirundi atapambana na Husein Mbonde na Ramadhani Maonya atakumbana na Said Faraji wakati Kelvin Majiba atakumbana na Ibrahimu Hamis mabondia wengine walio saini ni Mohamed Muhunzi na Mohamed Kashinde Abdallah Pazi 'Dula Mbabe' atakumbana na Zumba Kukwe mpambano huo ulioandaliwa na kampuni ya Butamanya General Tredes and Boxing Promotion imeandaa mpambano huo kwa ajili ya kukuza viwango vya mabondia chipkizi na kuimalisha zaidi wale wenye uwezo kwa ajili ya kuwapatia mipambano mbalimbali ya ndani na nje ya nchi Super D aliongeza kwa kusema kuwa siku hiyo kutakuwa na burudani za nguvu pamoja na ulinzi wa kutosha na ngumi zitaanza mapema ili wapenzi wa mchezo wa masumbwi warudi majumbani mapema wakiwa na furaha ya mchezo utakaochezwa
Mabondia Mfaume Mfaume kushoto na Yonas Segu wakitunishiana misuli baada ya kusaini mkataba wa kuzipiga feb 2o katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaam katikati ni Promota wa mpambano wa masumbwi Side Mkigoma Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondi Mfaume Mfaume na Yonas Segu wakisaini mkataba wa kuzipiga feb 20 katika ukumbi wa frends corner manzese katikati ni promota Side Mkigoma Picha na SUPER D BOXING NEWS
Promota wa mpambano wa masumbwi Side Mkigoma katikati akimkabidhi mkataba bondia Yonas Segu atakaezipiga na mfaume mfaume feb 20 katika ukumbi wa frends corner manzese Picha na SUPER D BOXING NEWS
Tyson Fury (right) was awarded victory over Wladimir Klitschko 115-112, 115-112, 116-111 on the judges' scorecards
Wladimir
Klitschko will attempt to regain the world heavyweight title by taking
up his option for a rematch with new champion Tyson Fury next year.
Briton Fury, 27, beat the Ukrainian in Dusseldorf, Germany, on Saturday to take the WBA, IBF and WBO belts.
The contract for the fight included a clause for a rematch, for which the date and the venue have to be decided.
"Failure is not an option," said Klitschko, 39, on his prospects of winning back the titles.
"I
was really frustrated directly after the fight, but after some short
nights, I now know that I am much better than my performance on
Saturday.
"I couldn't show much full potential at any time. This is what I want to change in the rematch, and I will."
Klitschko
has had two spells as world champion, the first from 2000 to 2003.
Having regained the WBO belt in 2004, he went 11 years and 19 successful
defences before losing to Fury.
Manchester fighter Fury said on Sunday that he would beat Klitschko again if they were reunited in the ring next year.
Fury's uncle and trainer Peter told BBC Radio Manchester it was "fantastic news" Klitschko had taken up the option.
Mabondia Thomas Mashali kushoto na Fransic Cheka wakitunishiana misuli wakati wa kutambulisha mpambono wao utakaofanyika katika uwanja wa jamuhuri Morogoro Desemba 25 Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondia Thomas Mashali kushoto na Fransic Cheka wakitambiana mbele ya wandishi wa habari wakati wa kutambulisha mpambano wao wa desemba 25 utakaofanyika katika uwanja wa jamuhuri Morogoro Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Thomas Mashali kulia akizungumza na waandishi wa habari awapo pichani wakati alipokuwa akitambulisha mpambano wake na Fransic Cheka kushoto utakaofanyika katika uwanja wa jamuhuri Morogoro siku ya Desemba 25 Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondia Fransic Cheka kushoto na Thomas Mashali wakiangaliana kwa usongo wakati wa kutambulisha mpambano wao wa desemba 25 utakaofanyika katika uwanja wa jamuhuri Morogoro Picha na SUPER D BOXING NEWS
KOCHA WA MCHEZO WA MASUMBWI NCHINI RAMADHANI UHADI KULIA AKIWA NA PROMOTA KAIKE SIRAJU PAMOJA NA BONDIA THOMAS MASHALI
Mabondia
Thomas Mashali kushoto na Fransic Cheka wakitambiana mbele ya wandishi
wa habari wakati wa kutambulisha mpambano wao wa desemba 25
utakaofanyika katika uwanja wa jamuhuri Morogoro Picha na SUPER D BOXING NEWS
Na Mwandishi Wetu
MABONDIA Thomas Mashali wa Dar es salaam na Fransic Cheka wa Morogoro wamendelea kutambiana kuelekea mpambano wao wa desemba 25 utakaofanyika katika uwanja wa jamuhuri Morogoro uzito wa kg 76
akiongea na waandishi wa habari Mashali amesema kuwa hii ni vita ya Dar na Moro hivyo kawaomba wapenzi wa mchezo wa masumbwi wa Dar es salaam waweze kuhamia morogoro kwa muda kwa ajili ya kumsapoti
siku hiyo ambayo kwake atakuwa na kibaruwa kigumu ambapo atapigana na Cheka pamoja na wakazi wa Morogoro
nae Chaka alijibu mapigo hayo kwa kusema siku zote anamweshimu bondia anaetaka mpambano wa marudiano hata hivyo dozi ya mashali ipo pale pale na nitampiga katika raundi za awali tu kwa kuwa nipo vizuri na naendelea na mazoezi
nae kocha wa Mashali Ramadhani Uhadi amesema kuwa cheka ni bondia wa kawaida sana hivyo wapenzi waje waone mchezo mzuri utakaochezwa na Mashali atakavyo msambalatisha Cheka siku hiyo mjini Morogoro
na kocha wa bondia Cheka Abdallah Salehe amesema Cheka yupo vizuri sana kwa sasa nimempika ameshaiva ata kama mpambano utakuwa leo Mashali atapigwa mapema sana
katika mpambano huo kutakuwa na mipambano mingine ya bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' atapambana na Twaha Kassimu kg 63 na Vicent Mbilinyi kg 63 atakumbana na Deo Njiku wakati Pius Kazaula kg 66 atamenyana na Seba Temba mpambano mwingine utawakutanisha mabondia Epson John kg 57 na Sadiq Momba na wana dada Lulu Kayage kg 51 atapambana na Mwanne Haji kugombania ubingwa wa taifa
Katika mpambano huo siku hiyo kutakuwa
na uzwaji wa DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi kali pamoja na kutambua
sheria zake zikiwa na mabondia wakali kama vile
Floyd Mayweathar,Manny Paquaio, Saul 'canelo' alverez ,Mike Tyson,Mohamed Ali,Ferex Trinidad,Miguel Cotto na wengine wengi
pia kuta kuwa na vifaa vya mchezo
vitakaokuwa vikitolewa na Kocha Rajabu Mhamila 'Super D' kwa mabondia
watakaofanya vizuri siku hiyo na vingine kuuzwa kwa pesa taslimu na
kocha huyo kwa ajili ya kuamasisha