Bondia
maarufu wa zamani nchini, Abdallah Mgeni ‘King Boxer’ (kulia) akifanya
mazoezi kwenye Meli. Bondia huyo pekee kumpiga gwiji wa zamani wa ndondi
nchini Habib Kinyogoli ‘Master’ alikuwa Baharia na muda mwingi
alilazimika kuwa anafanya mazoezi yake kwenye Meli. Mungu ampumzishe kwa
amani milele fundi huyo wa ngumi
Monday, May 16, 2016
MABONDIA WA TANZANIA WAPIGWA PINI KUCHEZA JUNE 4 UWANJA WA TAIFA
| Bondia Japhert Kaseba kulia akitia saini mkataba wa kuzipiga na bondia Amour Mzungu wa Zanzibar siku ya june 4 mwaka uhu katika uwanja wa ndani wa taifa anaeshudia ni Katibu wa shilikiho la ngumi za kulipwa nchini Anton Rutta Picha na SUPER D BOXING NEWS |
| Bondia Japhert Kaseba kulia akitia saini mkataba wa kuzipiga na bondia Amour Mzungu wa Zanzibar siku ya june 4 mwaka uhu katika uwanja wa ndani wa taifa anaeshudia ni Katibu wa shilikiho la ngumi za kulipwa nchini Anton Rutta Picha na SUPER D BOXING NEWS |
| Bondia Jonas Segu kulia akitia saini mkataba wa kuzipiga siku ya june 4 katika uwanja wa ndani wa taifa atakapozxipiga na bondia kutoka nje wanaoshudia katikati ni Katibu wa shilikisho la ngumi za kulipwa PST Anton Rutta kushoto ni kocha wa bondia huyo Kwame mkuluma na mwingine ni Hamisi Chala Picha na SUPER D BOXING NEWS |
Bondia Jonas Segu kulia akitia saini mkataba wa kuzipiga
siku ya june 4 katika uwanja wa ndani wa taifa atakapozxipiga na bondia
kutoka nje wanaoshudia katikati ni Katibu wa shilikisho la ngumi za
kulipwa PST Anton Rutta kushoto ni kocha wa bondia huyo Kwame mkuluma na
mwingine ni Hamisi Chala Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Mfaume Mfaume akisaini mkataba wa kuzipiga siku ya june 4 mwaka uhu na bondia kutoka nje ya nchi mbele ya Katibu wa shilikisho la ngumi za
kulipwa PST Anton Rutta kushoto Picha na SUPER D BOXING NEWS| Bondia Mfaume Mfaume akisaini mkataba wa kuzipiga siku ya june 4 mwaka uhu na bondia kutoka nje ya nchi mbele ya Katibu wa shilikisho la ngumi za kulipwa PST Anton Rutta kushoto Picha na SUPER D BOXING NEWS |
Bondia Fadhili Majiha kulia akisaini mkataba wa kuzipiga na bondia kutoka nje siku ya june 4 katika uwanja wa ndani wa Taifa katikati ni Katibu wa shilikisho la ngumi za
kulipwa PST Anton Rutta kushoto ni kocha wa bondia huyo Kwame mkuluma
Picha na SUPER D BOXING NEWS
Na Mwandishi Wetu
MABONDIA wengine wa Tanzania wamepigwa pini kwa ajili ya kucheza mapambano ya kimataifa siku ya june 4 katika uwanja wa ndani wa Taifa
Mabondia hawo walisaini mkataba uho wa kuzipiga na mabondia kutoka nje ya nchi mbele ya Katibu wa shilikisho la ngumi za kulipwa PST Anton Rutta
waliosani kuzipiga na mabondia kutoka nje ya nchi wakiongozwa na Japhert Kaseba ataaezipiga na Amour Mzungu kutoka Zanzibar wengine wailio saini kuzipiga siku hiyo ni pamoja na
Mfaume Mfaume, Fadhili Majiha,jonas Segu, Alphonce Mchimiatumbo, Vicent Mbilinyi pamoja na Ashiraf Selemani kutoka Zanzibar ambaye nae atazipiga siku hiyo
Mipambano hiyo mingine ya kimataifa inaletwa na promota mkongwe nchini katika maswala ya mchezo wa masumbwi si mwingine bari ni Ally Mwazowa kutoka mkoa wa Tanga
siku hiyo pia kutakuwa na ugawaji wa zawadi mbalimbali kwa mabondia watakaocheza vizuri na kuonesa nidhamu ya mchezo wa masumbwi kutoka kwa kocha Rajabu Mhamila 'Super D' ikiwemo vifaa vya mchezo pamoja na DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi pamoja na kutamba sheria za mchezo uho nyingine zitakuwa zikiuzwa kwa galama nafuu kwa mashabiki watakaofika siku hiyo
Picha na SUPER D BOXING NEWS
Na Mwandishi Wetu
MABONDIA wengine wa Tanzania wamepigwa pini kwa ajili ya kucheza mapambano ya kimataifa siku ya june 4 katika uwanja wa ndani wa Taifa
Mabondia hawo walisaini mkataba uho wa kuzipiga na mabondia kutoka nje ya nchi mbele ya Katibu wa shilikisho la ngumi za kulipwa PST Anton Rutta
waliosani kuzipiga na mabondia kutoka nje ya nchi wakiongozwa na Japhert Kaseba ataaezipiga na Amour Mzungu kutoka Zanzibar wengine wailio saini kuzipiga siku hiyo ni pamoja na
Mfaume Mfaume, Fadhili Majiha,jonas Segu, Alphonce Mchimiatumbo, Vicent Mbilinyi pamoja na Ashiraf Selemani kutoka Zanzibar ambaye nae atazipiga siku hiyo
Mipambano hiyo mingine ya kimataifa inaletwa na promota mkongwe nchini katika maswala ya mchezo wa masumbwi si mwingine bari ni Ally Mwazowa kutoka mkoa wa Tanga
siku hiyo pia kutakuwa na ugawaji wa zawadi mbalimbali kwa mabondia watakaocheza vizuri na kuonesa nidhamu ya mchezo wa masumbwi kutoka kwa kocha Rajabu Mhamila 'Super D' ikiwemo vifaa vya mchezo pamoja na DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi pamoja na kutamba sheria za mchezo uho nyingine zitakuwa zikiuzwa kwa galama nafuu kwa mashabiki watakaofika siku hiyo
Friday, May 13, 2016
NGUMI ZA KIMATAIFA KUPIGWA KESHO JUMAMOSI MEI 14 UWANJA WA NDANI WA TAIFA
| Bondia Sajjabi Ben wa Uganda akitunishiana misuli na Fransic Miyeyusho baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa kimataifa utakaofanyika siku ya jumamosi ya mei 14 katika uwanja wa ndani wa taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS |
| Chiedza Homakoma 'Nikita' wa Malawi akitunishiana misuli na Lulu Kayage baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa jumamosi ya mei 14 katika uwanja wa ndani wa taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS |
| Bondia Alan Kamote kutoka Tanga Tanzania akitunishiana misuli na Salim Chazama wa Malawi baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi utakaofanyika jumamosi mei 14 katika uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS |
NASSIBU RAMADHANI
| RAMADHANI SHAULI |
| LULU KAYAGE KATIKATI AKIWA NA TEAM YAKE |
LULU KAYAGE KUSHOTO NA Chiedza Homakoma 'Nikita' wa Malawi
FRANSIC MIYEYUSHO
| Bondia Sajjabi Ben wa Uganda akitunishiana misuli na Fransic Miyeyusho baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa kimataifa utakaofanyika siku ya jumamosi ya mei 14 katika uwanja wa ndani wa taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS |
Na Mwandishi Wetu
HOMA ya mpambano wa kimataifa umezidi kupamba moto baada ya leo kukutanishwa mabondia wote wa Tanzania pamoja na mataifa mengine watakaocheza
HOMA ya mpambano wa kimataifa umezidi kupamba moto baada ya leo kukutanishwa mabondia wote wa Tanzania pamoja na mataifa mengine watakaocheza
akiongea na wahandishi wa habari
wakati wa upimaji uzito kwa mabondia Mratibu wa mpambano uho Anton Rutta amesema kuwa mabondia wote wamepima uzito na ngumi zitapigwa kesho 'Leo' kuanzia saa kumi na nusu jioni ambapo bondia
Thomas Mashali 'Simba Asiyefugika' atakuwa anagombea ubingwa wa dunia kg 76 mkanda wa U.B.O na Sajjad Mehrab kutoka 'Irani'
Wakati mapambano mengine ya kimataifa yatawakutanisha mabondia
wakati wa upimaji uzito kwa mabondia Mratibu wa mpambano uho Anton Rutta amesema kuwa mabondia wote wamepima uzito na ngumi zitapigwa kesho 'Leo' kuanzia saa kumi na nusu jioni ambapo bondia
Thomas Mashali 'Simba Asiyefugika' atakuwa anagombea ubingwa wa dunia kg 76 mkanda wa U.B.O na Sajjad Mehrab kutoka 'Irani'
Wakati mapambano mengine ya kimataifa yatawakutanisha mabondia
Mwanadada
Lulu Kayage atakaezichapa na Chiedza Homakoma 'Nikita' wa Malawi na Allen Kamote atapambana na Salim Chazama wa Malawi
wengine ni Ramadhan Shauri atakaepambana na Osgood Kayuni wa Malawi
wakati Twaha Kassim atapambana na Fred Nyakese kutoka Kenya na Saleh
Mkalekwa atakumbana na Jems Onyango wa Kenya na Fransic Miyeyusho
atavaana na Sajjabi Ben wa Uganda na Nassibu Ramadhani atacheza na
Edwrd Kakembo wa Uganda
mapambano mengini ya kitaifa
yatawakutanisha Shaban Kaoneka atakaecheza na Hassan Mwakinyo na Issa
Nampepeche atakumbana na Baina Mazola pambano ambalo kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' atatowa zawani ya vifaa vya mchezo wa ngumi kwa mshindi kati ya Nampepeche na Mazola
mapambano hayo ya kimataifa yameandaliwa na promota mkongwe Ally Mwazowa kutoka mkoa wa Tanga
siku hiyo kutakuwa na burudani mbalimbali zitakazo sindikiza mapambano hayo ya kimataifa ya mchezo wa masumbwi pia ngumi zitaanza mapema kuepusha usumbufu unaojitokezaga kwa wapenzi kuchelewa majumbani mwao kwa ajili ya mchezo wa masumbwi
siku hiyo pia kutakuwa na ugawaji wa
zawadi kwa mabondia watakaocheza vizuri na kuonesa nidhamu ya mchezo wa
masumbwi ikiwemo vifaa vya mchezo pamoja na DVD za mafunzo ya mchezo wa
ngumi pamoja na kutamba shiria za mchezo uho nyingine zitakuwa zikiuzwa
kwa galama nafuu kwa mashabiki watakaofika siku hiyo
Wednesday, May 11, 2016
BONDIA SAJJAD MEHRAB AWASILI KUMVAA THOMASI MASHALI MEI 14 TAIFA
| Bondia Sajjad Mehrab kutoka 'Irani' kulia akiwa na rais wa PST Emanuel Mlundwa pamoja na kocha wake baaa ya kutua nchini kwa ajili ya kugombania mkanda wa ubingwa wa Dunia na Thomas Mashali mei 14 katika uwanja wa ndani wa taifa picha na SUPER D BOXING NEWS |
Bondia Sajjad
Mehrab kutoka 'Irani' kulia akiwasili nchini kwa ajili ya mpambano wake wa
ubingwa wa Dunia na Thomasi mashali mei 14 katika uwanja wa ndani wa
Taifa
Bondia Sajjad
Mehrab kutoka 'Irani' akiongea na wahandishi wa habari mara baada ya kuwasili nchini kwa ajili ya mpambano wake wa ubingwa wa Dunia na Thomas Mashili utakaofanyika mei 14 katika uwanja wa ndani wa Taifa picha na SUPER D BOXING NEWS
| Bondia Sajjad
Mehrab kutoka 'Irani' akiongea na wahandishi wa habari mara baada ya kuwasili nchini kwa ajili ya mpambano wake wa ubingwa wa Dunia na Thomas Mashili utakaofanyika mei 14 katika uwanja wa ndani wa Taifa picha na SUPER D BOXING NEWS |
Bondia Sajjad
Mehrab kutoka 'Irani' akiwasili nchini kwa ajili ya mpambano wake wa
ubingwa wa Dunia na Thomasi mashali mei 14 katika uwanja wa ndani wa
Taifa
|
Bondia Sajjad
Mehrab kutoka 'Irani' akiwasili nchini kwa ajili ya mpambano wake wa ubingwa wa Dunia na Thomasi mashali mei 14 katika uwanja wa ndani wa Taifa
Thursday, May 5, 2016
BONDIA VICENT MBILINYI AJITAHALISHA NA MPAMBANO WAKE WA JUNE 4
Na Mwandishi Wetu
Bondia Msafiri Haule katika mpambano wa raundi sita utakaofanyika juni 4 mwaka uhu katika ukumbi wa uwanja wa ndani wa taifa
Mbilinyi aliye chini ya kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amejizatiti kushinda mpambano wake uho kwa kuwa amefanya mazoezi kwa mda mrefu na ajapigana katika jiji la Dar es salaam kwa mda hivyo mashabiki wake wakae mkaa wa kufuraia siku hiyo
aliongeza kwa kusema kuwa Mashabiki wake wategemee ushindi wa K.O mbaya sana aliongeza kwa kusema kuwa kama mashabiki watakumbuka mpambano wangu wa mwisho nilivyo msambalatisha Deo Njiku kwa K,O hivyo mwendeezo wangu utakuwa hivyo hivyo kwa huyo bondia
nae kocha wa kimataifa Rajabu Mhamila 'Super D' anaemnowa Mbilinyi amesema kuwa bondia huyo yupo fiti ata kama mpambano utapigwa leo kwa kuwa amefanya mazoezi ya muda mrefu na yakutosha akiwa chini ya kocha huyo ambaye jukumu lake alishii tu kwa ukocha pamoja na kumtangaza nje na ndani ya nchi na kumtafutia mapambano mbali mbali ambayo yanamwezesha kuendeleza kipaji chake hicho
mbali na mpambano uho siku hiyo kutakuwa na mapambano ya mabondia wa uzito wa juu nchini siku hiyo itajulikana kama 'Usiku wa Mahavy Weight' ambapo bondia Ashiraf Selemani kutoka Zanzibar atapanda uringoni kuzichapa na Mthailand wakati bondia mwingine Amour Mzungu kutoka Zanziba atazipiga na Japhert Kaseba
na mapambano mengine mbalimbali yatakayosindikiza usiku huo wa mabondia wa uzito wa juu nchini
MIKADA YA UBINGWA WA DUNIA WATAKAYOGOBANIA MASHALI/CHEKA YAWASILI NCHINI KUGOMBANIWA MAY 14 TAIFA
| Mratibu wa mpambano wa ungingwa wa Dunia wa U.B.O Anton Rutta katikati akionesha mikanda ya ubingwa watakayogombania mabondia Cosmas Cheka atakaecheza na Fransic Kimani wa Kenya na Thomasi Mashali kulia akiwa na mkanda wa ubingwa wa Dunia atakaocheza na Sajjad Mehrab kutoka 'Irani' mpambano utakaofanyika uwanja wa ndani wa Taifa siku ya may 14 Picha na SUPER D BOXING NEWS |
| Mratibu wa mpambano wa ungingwa wa Dunia wa U.B.O Anton Rutta katikati akionesha mikanda ya ubingwa Dunia mbele ya waandishi wa habari awapo pichani watakayogombania mabondia Cosmas Cheka atakaecheza na Fransic Kimani wa Kenya na Thomasi Mashali kulia nae atagombania ubingwa wa Dunia atakaocheza na Sajjad Mehrab kutoka 'Irani' mpambano utakaofanyika uwanja wa ndani wa Taifa siku ya may 14 Picha na SUPER D BOXING NEWS |
| Bondia Cosmas Cheka akiongea na waandishi wa habari |
| Fransis Miyeyusho akiongea na waandishi wa habnari |
| Bondia Lulu Kayage akiongtea na waandishi wa habari |
| Mratibu wa mpambano wa ungingwa wa Dunia wa U.B.O Anton
Rutta katikati akionesha mikanda ya ubingwa watakayogombania mabondia
Cosmas Cheka atakaecheza na Fransic Kimani wa Kenya na Thomasi Mashali
kulia akiwa na mkanda wa ubingwa wa Dunia atakaocheza na Sajjad Mehrab kutoka 'Irani' mpambano utakaofanyika uwanja wa ndani wa Taifa siku ya may 14 Picha na SUPER D BOXING NEWS Na Mwandishi Wetu HOMA ya mpambano wa kimataifa umezidi kupamba mota baada ya leo kukutanishwa mabondia wote wa Tanzania watakaocheza na wa nje kuongea na wahandishi wa habari baada ya kuwasili mikanda ya ubingwa wa Dunia itakayo gombaniwa na mabondia wawili wa Tanzania akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari mlatibu wa mpambano uho Anton Rutta amesema mabondia wote wapo safi kwa ajili ya mpambano uho wa kimataifa ambapo bondia Thomas Mashali 'Simba Asiyefugika' atakuwa anagombea ubingwa wa dunia kg 76 mkanda wa U.B.O na Sajjad Mehrab kutoka 'Irani' nae Cosmas Cheka atakuwa akigombania ubingwa wa Dunia wa U.B.O uzito wa super Fether kg 59 dhidi ya mkenya Fransic Kimani Wakati mapambano mengine ya kimataifa yatawakutanisha mabondia
Mwanadada
Lulu Kayage atakaezichapa na Chiedza Homakoma 'Nikita' wa Malawi
wengine ni Ramadhan Shauri atakaepambana na Osgood Kayuni wa Malawi
wakati Twaha Kassim atapambana na Fred Nyakese kutoka Kenya na Saleh
Mkalekwa atakumbana na Jems Onyango wa Kenya na Fransic Miyeyusho
atavaana na Frank Kiwalabye wa Uganda na Nassibu Ramadhani atacheza na
Edwrd Kakembo wa Uganda Abdalla Pazi 'Dula Mbabe' atavaana na
Chamunorwa Gonorenda kutoka Zimbabwe
mapambano mengini ya kitaifa
yatawakutanisha Shaban Kaoneka atakaecheza na Hassan Mwakinyo na Issa
Nampepeche atakumbana na Baina Mazola
mapambano hayo ya kimataifa yameandaliwa na promota mkongwe Ally Mwazowa kutoka mkoa wa Tanga
siku hiyo kutakuwa na burudani mbalimbali zitakazo sindikiza mapambano hayo ya kimataifa ya mchezo wa masumbwi
siku hiyo pia kutakuwa na ugawaji wa zawadi kwa mabondia watakaocheza vizuri na kuonesa nidhamu ya mchezo wa masumbwi ikiwemo vifaa vya mchezo pamoja na DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi pamoja na kutamba shiria za mchezo uho nyingine zitakuwa zikiuzwa kwa galama nafuu kwa mashabiki watakaofika siku hiyo |
Subscribe to:
Posts (Atom)
