Tangazo

Pages

Saturday, February 8, 2014

MASHINDANO YA NGUMI YA NELSONI MANDELA OPEN CHAMPIONSHIP YAMALIZIKA KAWE


Bondia Rudia Mashala kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Ratifa Khalidi wakati wa mashindano ya Nelson Mandela Open Champion Ship yaliyo malizika katika viwanja vya Kawe Dar es salaam Ratifa alishinda kwa point Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Ezira Paur wa Kigoma akipambana na Hafidhi Kassimu wa Ngome wakati wa mashindano ya Nelson Mandela Open CHampion Ship yaliyomalizika kawe Dar es salaam Paur alishinda kwa point Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Baadhi ya watu waliofulika kuangalia michuano hiyo

Meya wa Kinondoni akizungumza wakati wa kufunga mashindano hayo

Mjumbe wa maendeleo ya wanawake katika mchezo wa masumbwi nchini Aisha Vonialis katikati akiwa na mabondia wa kike waliopigana na kunyakuwa zawadi mbalimbali

Meya wa Manspaa ya Kinondoni Yussuph Mwenda akimkabizi  Mwenyekiti wa timu ya Mkoa wa Kigoma  Eddie Kikwesha  baada ya kuibuka timu yenye Nidhamu katika mchezo wa masumbwi katikati ni Mjumbe wa maendeleo ya wanawake katika mchezo wa masumbwi nchini Aisha Vonialis

Katika picha ya pamoja
Rais wa Shilikisho la ngumi za Ridhaa Nchini BFT Mutta Rwakatare akimzawadia kocha wa timu ya kawe baada ya kuibuka washindi wa tatu katika mashindano hayo

THE FIRST IBF FEMALE WORLD TITLE FOR AFRICA - HELEN JOSEPH READY TO LOCK HORNS WITH SANTANA IN THE "RUMBLE OF THE BEAUTIES"

FOR THE IMMEDIATE PRESS RELEASES                 IBF AFRICA & MIDEAST: onesmongowi@gmail.com
INTERNATIONAL BOXING FEDERATION AFRICA, MIDDLE EAST & PERSIAN GULF

ACCRA, REPUBLIC OF GHANA, FEB. 08, 2014: The Ghanaian GoldenMike Boxing Promotions Syndicate managed by Michael Tetteh a.k.a "Muttu"  has made history that will be written in golden ink for many years to come. Upon winning the first bid for the African continent to host the First Female IBF World Title, GoldenMike Boxing Promotion Syndicate is on the whirlwind to setup one of the major tournament Ghana and in deed Africa has ever staged.


This come on the wheels of its victory for the IBF Female featherweight championship of the world between Ghanaian based Nigerian Princess of Africa boxing Helen  Joseph against IBF Female Featherweight champion Dahianna Santana from the city of San Domingo in the the Dominican Republic.


The GoldenMike Bixing Promotions Syndicate a subsidiary of Goldenconcept Busjness Conglomerant has scheduled the tournament to take place April 25, 2014 at the Accra Sports Stadium. This is the same place where Helen Joseph annihilated Marriana Gulays from Hungary to snatch the IBF Feameke Fetherweight Intercont8ennatkl Title last year.
The weigh-in will take place April 24, 2014 at the famous Press Center.


The Princess of African Boxing Helen Joseph is in the hands of Kofi Daku-Rickets who is regarded as one of the greatest professional boxing trainers in Ghana today. Kofi Daku-Rickets has bigger plans for Helen as she aim to the great heights.

The derby to be fought on 10 rounds of 2 minutes each has been heralded as one of the greatest news that Africa has every received in recent years. For a boxer to win the world title under IBF is a golden opportunity for those who would climb that stairs.
Helen, a boxer who has gone through the IBF Africa & Middle East's progression path is young, beautiful, calm and has the serenity to charm anyone around her. She is typical African Princess the like of Princess Cleopatra who harbors great ambitions for her and her continent of Africa.
Nigeria
home to the Princess of African boxing Helen Joseph
is known for producing the first world boxing champion from Africa. Dick Tiger, the man who sent fear shivers to many of his opponents across the Atlantic
ocean
is the Africa's pride whose history and achievements in boxing are written by the golden ink.

Africa
continent
is known as home and bedrock for boxing because many years ago, boxing started in Abyssinia now Ethiopia and was used to measure manhood and heroes. That Africa has been home to several world class boxing champions; it is not a surprise at all.


Helen Joseph (Left) Pummeling Dahianna Santana (right)

In the 21st century boxing cannot be written without the inclusion of female boxing. Women have brought feminine favor to boxing which was missing before. Nowadays boxing is more attractive than during the days of bareknuckle and all this thanks to the inclusion of women to the sweet science which makes it sweeter!

We have already read stories of the meticulous rise and dominance of Dick Tiger, Azumah Nelson, Welcome Ncita, Harry Simon and other boys in the ring but, it is time now we read about the role of women in the sport of professional boxing and most particularly, the story of Helen Joseph, known as "The Princess of boxing in Africa" or "Iron Lady" from Nigeria.


Helen Joseph is a beautiful young lady who found her calling to boxing early on when she was still a toddler. She wanted to be a nurse so that she could attend to the needs of others but then, there was desires of being a protector to others and particularly women. Helen could not stand when she saw other girls from South West Nigeria being mistreated. For that she swore that one day she would do something about it.

Her desires to help and protect other women drove to boxing and as fate would have it, she climbed the ladders so quick that she would realize that time was running so fast with her.

He
r
first duty was in January 10, 2004 when she met Margaret Ibiam in Lagos, Nigeria and did a hurried work by KOed her in the 1st round. The bout became an eye opener to the Nigerian boxing promoters that the champion has arrived.

Three months later on 03, Mrch 2004, she met and disposed Ndidi Okafor in Lagos, Nigeria only 2 rounds of their 4 rounder bout.

The Princess of African Boxing Helen Joseph (Right) Zeroing Dahianna Santana (Left)

Victim number three was Esther Haruna when Helen did her in the third round of their 4 rounder bouts on June 16, 2004 before she met and mauled  Toyin Omorayi by points on 29th January 2005.

Helen continued her meticulous rise in professional boxing and this was apparent when she met Busola Obi on 25 June 2005 by stopping her in the 4th round of their 6 rounder bout in Lagos Nigeria before travelling to Ibadan, Nigeria on October 15, 2005 only to knock out Mariam Joseph in 2nd round of their 6 rounder bout.

Helen's first foreign bout came calling in June 03rd, 2006 when she travelled to the Capital City of Lome in Togo and met Yarkor Chavez Annan for the 4 rounder bout which ended in Helen's favor by points.

Her whirlwind tour of West African took her to Burkina Faso in August 05, 2006 where she met Kahide Kazeem at the Maison du Peuple, Ouagadougou, Burkina Faso and outpointed her in their 6 rounder bout.

The Burkinabe boxing stakeholders demanded that she went back to the country of the Stallion again to showcase her prowess and she did so in July 28, 2007 when to meet Ameley Turkson at the same venue the Maison du Peuple, Ouagadougou, Burkina Faso. Ameley Turkson would lose the fight on points to Helen in their 6 rounder bout.

Time now to the Southern African Hemisphere when Helen calling saw her putting camp in Lusaka, Zambia to meet their national pride Mable Mulenga for the minor WIBF Intercontinental Bantamweight Title at the famous Nationalist Stadium, Lusaka, Zambia. Mable Mulenga could not stand Helen onslaught and she lost on points in their 10 rounder duel.

Helen next outing took her to the Rainbow nation of South Africa in the city of Igoli (JoBurg) when she met and lost controversially on points to Unathi Myekeni in their minor World Boxing Foundation International Female featherweight title.

Namely Emilia of Ghana had to take all of Helen's fury in September 23, 2011 at the Prison's Canteen, Accra, Ghana when she was TKOed in round 6 of their 6 rounder bout.

The Princess of African Boxing Helen Joseph (Left) Santana (Right)


Helen's other controversial bout in the Rainbow nation and in the same Igoli city of JoBurg came in March 24, 2012 when she met Unathi Myekeni at the Carnival City Casino, Brakpan, Gauteng, South Africa and the fight was declared a draw to the amazement of all the attending boxing stakeholders.

But, the world's top boxing body the IBF saw her ability and gave her a shot at its world featherweight title against the title holder Dahiana Santana of Dominican Republic. Helen's trip to The Dominican Republic was rescheduled twice because of the visa problems and her team led by her promoter Henry Manly-Spain, the CEO of GoldenConcept Business Group that owns GoldenMike Boxing Promotion Syndicate of Accra, Ghana.

In the end Helen arrived in The Dominican Republic after traveling long way from Ghana, to Spain, Brazil and then Dominican Republic. She has no time to rest and on arrival she was whisked to the weigh-in to face her nemesis Santana who was fighting on her home turf.

The fight was held at the Dominican Fiesta Hotel & Casino, Santo Domingo, Dominican Republic in December 17, 2012 under the supervision of the IBF Chairman of ratings Committee Anibal Miremontes. The fight saw both boxers kissing the carpet and at the of it Santana came better of the two and retained her title.

The IBF rewarded Helen's courage with the I/C Featherweight title and in May 03, 2013 she had to show the boxing fraternity the type of the boxer she was when she met the stubborn Hungarian Iron Lady Marianna Gulyas and sent her packing in the shortest fight of the year  0:28 second in the first round.

The win and her IBF I/C Featherweight title on hand enabled Helen to retain her number one contender to the Featherweight world title.


The Princess of Africa Boxing Helen Joseph with Onesmo Ngowi, IBF Africa & Mideast President (Left) and her trainer Kofi Daku-Ricketts (Right)  after winning the IBF Inter Continental Title last year

Africa is excited with the news of
Helen Joseph stab at the
world title and many boxing fans across the continent are planning to travel to Ghana to watch the awesome fight.

Africa's hopes are highly invested on Helen Joseph, the "Princess of African Boxing" to bring back the honors that her predecessors Dick Tiger, Azumah Nelson, Welcome Ncita, Harry Simon and others brought to Africa some years ago.

They call it Africa. We call it HOME

Friday, February 7, 2014

MASHINDANO YA NGUMI NELSON MANDELA OPEN BOXING CHAMPIONSHIP YAZIDI KUNOGA KAWE


Bondia Habasi Hamisi wa Kigoma akikwepa konde la Mustafa Murinho  wakati wa mashindano ya Nelson Mandela Open Championship yaliyofanyika katika  viwanja vya Tanganyika Packers Kawe  jijini Dar es salaam Morinho alishinda kwa point mpambano huo na kuingia fainal
Bondia Finias Genga kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Haruna Swanga wakati wa mashindano ya Nelson Mandela Openchampion ship yaliyofanyika katika viwanja vya  Tanganyika Packers Kawe  jijini Dar es salaam Swanga alishinda kwa TKO ya raundi ya kwanza na kufanikiwa kuingia fainal ya mashindano hayo Picha Na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Haruna Swanga akinyooshwa mkono juu kuashilia ushindi wake
Mjumbe wa maendereo ya wanawake katika mchezo wa masumbwi nchini Aisha Vonialis akisaidia kufunga mlingoti wa taa katika mashindano hayo

Rais wa Shilikisho la ngumi za Ridhaa Nchini BFT Mutta Rwakatare akimwelekeza ofisa habari wake Viduka  jinsi ratiba ya mahindano yanavyokwenda kushoto ni Mjumbe wa maendereo ya wanawake katika mchezo wa masumbwi nchini Aisha Vonialis
Diwani wa Kata ya Kawe Othumani Kipete Mjumbe wa maendereo ya wanawake katika mchezo wa masumbwi nchini Aisha Vonialis na
Rais wa Shilikisho la ngumi za Ridhaa Nchini BFT Mutta Rwakatare wakifatilia kwa makini Mashindano hayo
Aisha Vonialis



Na Mwandishi Wetu Kawe

Mjumbe wa maendeleo ya wanawake katika mchezo wa masumbwi nchini Aisha Vonialis amesema wanawake wanatakiwa wawe na msukumo mkubwa katika kuhakikisha wanajitokeza kwenye mchezo wa masumbwi

akizungumza wakati wa mashindano ya kumuenzi Rais wa kwanza mweusi Afrika Kusini Nelson Mandela Open Boxing Championship yaliyofanyika katika viwanja vya  Tanganyika Packers Kawe  jijini Dar es salaam 

Mjumbe huyo alitoa wito kuwa wanawake wanaweza hivyo wajitokeze katika kucheza mchezo wa ngumi na kuangalia mchezo huo kama michezo mingine akitolea mfano unaona katika mashindano haya wanawake ndio walio ongoza kuja kwa wingi kwa kuwa wanapenda mchezo siku zote tulizo kuwepo hapa katika viwanja hivi wanawake wanakuja kushingilia sana tu

aliongeza kwa kusema kuwa wanaomba mashilika,makampuni tasisi mbalimbali pamoja na watu binafsi kuja kusaidia mchezo wa masumbwi upate wadhamini wa kutosha kwani mashindano hayo yamekutanisha mikoa mbalimbali nchini kwa sasa hivyo wadau wote wanaombwa kujitokeza kudhamini mchezo huo 

katika mashindano hayo ya kuingia fainali bondia Mustafa Morinho alimsambalatisha Abbasi Hamisi uku Jonson Swanga akimpiga Disson Everest na Abuu Said akimdunda Frank Msindo na Haruna Swanga akimwazibu bila huluma bondia Finias Genga kwa TKO ya raundi ya kwanza

Wednesday, February 5, 2014

NGUMI ZA NELSON MANDELA OPEN CHAMPIONSHIP ZAFUNGULIWA KAWE


Bondia Fabian Gaudence kushoto akipambana na Hussein Mnimbo  wakati wa mashindani ya wazi ya Nelson Mandela  yabayofanyika katika Viwanja vya Tanganyika Packers Kawe  jijini Dar es salaam Gaudence alishinda mpambano huo kwa pointi picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Rashidi Samvu kutoka Kigoma  kushoto  akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Hafidhi Kassimu wa Ngome
wakati wa mashindani ya wazi ya Nelson Mandela  yaofanyika katika Viwanja vya Tanganyika Packers Kawe  jijini Dar es salaam
 

 
Bondia Part Kimweri kutoka Tanga  kushoto  akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Saidi Jabir wa Ngome Dar
wakati wa mashindani ya wazi ya Nelson Mandela  yaofanyika katika Viwanja vya Tanganyika Packers Kawe  jijini Dar es salaam Kimweri alishinda mpambano huo kwa pointi picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Baadhi ya viongozi wakifatilia mashindano hayo


Mkeni wa heshima katikati Diwani wa Kata ya Kawe Othumani Kipete akiwa na viongozi wa Shilikisho la mchezo wa ngumi za Ridhaa nchini kulia ni Rais wa shilikisho hilo Mutta Rwakatare  makamu wa rais Lukelo Willilo na
Mjumbe wa maendereo ya wanawake katika mchezo wa masumbwi nchini Aisha Vonialis

MAREFARII MABONDIA NA VIONGOZI WAKISUBILI KUFUNGULIWA KWA MASHINDANO HAYO


mjumbe wa bft antony mwangonda akiwa na makamu wa rais Lukelo Willilo

Na Mwandishi Wetu
MASHINDANO ya mchezo wa Ngumi yanayokwenda kwa jina la Nelsoni Mandela Open ChampionShip  yameanza kutimua vumbi katika
Viwanja vya Tanganyika Packers Kawe  jijini Dar es salaam


akizungumzia mashindano hayo yalivyo na ubora wa ali ya juu Makamu wa Rais wa Shilikisho la ngumi za Ridhaa nchini 'BFT' Lukelo Willilo 'amesema mashindano hayo kwa sasa yameboleshwa kwa kufuata taratibu za chama cha ngumi za ridhaa Dunia kwa sasa mabondia awavai kofia ngumu wanakuwa vichwa wazi hivyo wapenzi wa ngumi weje waone mabadiliko makubwa katika ngumi za ridhaa ndio ambazo ni msingi wa maendeleo ya mchezo wa masumbwi nchini;'

zamani mabondia walikuwa wanavaa kofia lakini kutokana na mabadiliko sasa awavai kofia wanapigana vichwa wazi  ambapo kwa kuanzia tumeamua kuweka mashindano haya kwenye viwanja vya wazi na ni bule tu akuna kingilio ili kila mtu ajionee mabadiliko ya ngumi mashindano hayo yanayo husisha mikoa mbalimbali nchini

mashindano haya yatakuwa ya siku tano kuanzia jumatano mpaka jumapili na ngumi zinanza kupigwa saa kumi na moja mpaka saa mbili usiku ngumi ndio zitakuwa zikisha

Katika ufunguzi huo bondia Patrck Kimweri wa Tanga alishindwa kufurukuta mbele ya Said Jabir wa ngome na Rashidi Samvu wa Kigoma alipigwa kwa pointi na Hafidhi Kassimu wakati Fabian Gaudence  akimsambalatisha Hussein Mnimbo  

MAYWEATHER ATAKA MASHABIKI WAKE WAMCHAGULIE BONDIA WA KUPIGANA NAE.



BINGWA wa dunia wa ngumi za uzito wa kati Floyd Mayweather amewataka mashabiki wake kuamua kama pambano lake litakalofuata liwe dhidi ya Amir Khan au Marcos Maidana. Khan ambaye ni raia wa Uingereza Desemba mwaka jana alisaini mkataba ambao unamuweka katika nafasi ya kupigana na Mayweather ambaye mpaka sasa hajawahi kupigwa na bondia yoyote. Khan mwenye umri wa miaka 27 ameshinda mapambano 28 kati ya 31 aliyopigana wakati Maidana ambaye ni raia wa Argentina yeye ameshinda mapambano 35 kati ya 38 aliyopigana.  Mayweather mwenye umri wa miaka 36 alituma ujumbe katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa twitter akiwataka mashabiki wake kumchagulia bondia wa kupigana naye katika pambano litakalofuata kati ya Khan au Maidana.Ni pigane na yupi kati ya Khan or Maidana??? Toa jibu kama wewe shabiki wake....
Justin Bieber na 50 Cent pamoja kwenye picha na Mayweather
TOP 10:
1) Floyd Mayweather
2) Manny Pacquiao
3) Andre Ward
4) Timothy Bradley
5) Wladimir Klitschko
6) Guillermo Rigondeaux
7) Adonis Stevenson
8) Sergio Martinez
9) Juan Manuel Marquez
10) Carl Froch

Sunday, February 2, 2014

TIMU YA NGUMI KIGOMA YATAMBA KUCHUKUA UBINGWA


JUMA LESSO
KOCHA wa timu ya ngumi  Mkoa wa Kigoma Juma Lesso amesema timu yake ya mkoa imekuja kamili kwa ajili ya mashindano ya wazi yatakayofanyika Feb 5 

katika viwanja vya Tanganyika Pekazi vilivyopo kawe jijini Dar es salaam

ni mara ya kwanza kwa timu ya Mkoa wa Kigoma kushiriki mashindano makubwa kama haya timu hiyo ambayo imeweka kambi yake maeneo ya kawe kabla ya hapo ilikuwa maeneo ya mabibo na sasa kawe kwani mashindano hayo yalikuwa yafanyike Feb mosi mwaka huu na sasa ni feb 5

lakini tuna mshukulu sana Mkuu wa Mkoa wa Kigoma  Kanali Mstaafu Issa Machibya kuakikisha tunashiriki katika mashindano haya kwa mara ya kwanza 
timu hiyo ambayo imekuja na wachezaji kumi kati ya hawo wanawake watatu na wanaume saba ambao wakekuja kuwakilisha mkoa wa Kigoma tutahakikisha kuwa tunachukuwa ubingwa huo ambao upo wazi

Lesso ambaye ni kocha wa kimataifa wa mchezo huo ambapo amepitia kozi ya kimataifa ya mchezo huo Lesso aliwataja baadhi ya mabondia aliokuja nao kuwa ni Agnes Mushi, Ezira Josefu,Rashidi na Habasi na wengine ambao walikuwa katika kambi ya mkoa huu  wa Kigoma 
ambapo tumepewa sapoti kubwa sana na mkuu wa mkoa hivyo tutaakikisha atumwangushi na tunarudi na ubigwa kigoma kwani tumejipanga kwa ajili ya kuchukua nafasi ya juu kabisa kwani sasa ngumi Dar es salaam akuna tunahamishia mkoa wa kigoma ambapo amasa inaendelea hivyo tunawaomba wana Kigoma wote waliopo Dar watupe sapoti ili mambo yawe safi na mchezo wa ngumi uendelee kuwa juu

Saturday, February 1, 2014

KITWE YAWAKUTANISHA WADAU WA MASUMBWI KATIKA MKUTANO LEO VIJANA KINONDONI

Kocha wa Kimataifa wa Mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' katikati akifatilia kwa makini mkutano wa Mabondia,mapromota na wadau mbalimbali wa mchezo wa masumbwi kulia ni bondia Sadiki Momba na Fabian Limo na mdau Maga kutoka Tegeta

Bondia Fransic Cheka akifatilia mkutano huo uliokuwa umewakutanisha makocha mabondia mapromota na wadau mbalimbali wa mchezo wa masumbwi nchini

Baadhi ya viongozi wakiwa meza kuu anae ongea ni Yasin Abdallah  kushoto ni Habibu Kinyogoli anaefati ni mwakilishi wa BMT  Richard Mganga Rais wa IBF Afrika Onesmo Ngoi na Lucas Retwainura

WADAU WALIOJITOKEZA KATIKA MKUTANO WA MASUMBWI

Baadhi ya Mabondia wakifatilia mkutano huo wa kwanza baada ya miaka 15

Kocha Mkongwe wa mchezo wa masumbwi nchini Habibu Kinyogoli akitoa moja ya mada zilizotakiwa kuongelewa kuhusiana na mchezo wa ngumi nchini picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Rais wa IBF Africa Onesmo Ngowi katikati akiwa na bondia FRansic Cheka na Promota Lucas Rwetainurwa wakati wa mkutano huo wa kujadili mambo mbalimbali yanayousu mchezo wa ngumi


Mdau wa mchezo wa ngumi ambaye pia ni Promota wa mchezo huo Mohamed Bawazir akizungumza wakati wa mkutano huo wa wadau wa masumbwi,mapromoto na mabondia

Kanal Mstaafu Iddi Kipingu akizungumza wakati wa mkutano wa mabondia,mapromota na wadau mbalimbali wa ngumi za kulipwa nchini kushoto ni promota Mohamed Bawazir na kulia ni Ofisa Michezo kutoka Baraza la michezo la Taifa BMT, Richard Maganga  picha na www.suprdboxingcoach.blogspot.com

WADAU WA MCHEZO WA NGUMI WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA MGENI RASMI kANALI MSTAAFU IDDI KIPINGU  BAADA YA KUMALIZA MKUTANO HUO PICHA NA WWW.SUPERDBOXINGCOACH.BLOGSPOT.COM