Tangazo

Pages

Sunday, June 29, 2014

NGUMI ZILIVYPIGWA MANZESE KATIKA UKUMBI WA KOBELO PUB


Bondia Mohamed Mussa kushoto akipambana na Shomary Punzi wakati wa mchezo wao uliofanyika katika ukumbi wa Kobelo Pub Manzese Dar es salaam Punzi alishinda kwa point Mchezo huo picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa wa Mvukeni, Muhidini Kassimu kulia akimkabizi kiongozi wa mabondia, Ramadhanu Uhadi pesa kwa ajili ya mabondia kununua maji wakati wa mashindano yaliyofanyika katika ukumbi wa Kobelo Pub
Bondia Omary Gumbo kushoto akimrushia konde Japhert Pascar wakati wa mchezo wao uliofanyika katika ukumbi wa Kobelo manzese Gumbo alishinda kwa point mpambano huo picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Mwenyekiti wa Sertikali ya Mtaa wa Mvuleni, Muhidini Kassimu akiwapatia zawadi mabondia Omary Gumbo na Japhert Pascar

Bondia Shomari Punzi kushoto akipambana na Mohamed Mussa wakati wa Mpambano wao Punzi alishinda mpambano huo kwa point picha na
www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments:

Post a Comment