Tangazo

Pages

Wednesday, June 25, 2014

NGUMI ZA VUNJA JUNGU KUPIGWA PUGU KILUMBA JUNE 28 UKUMBI WA ZULU PARADIES

Twalibu Mchanjo
MPAMBANO mkali wa masumbwi utafanyika katika ukumbi wa Zulu Paradais siku ya Jyne 28 mpambano uho utakaowakutanisha mabondia machachali na wenye uwezo wa ali ya juu kwa sasa ni kati ya Adamu Ngange atakaepambana na Twalibu Mchanjo mpambano wa raundi nane siku hiyo

mabondia watakaosindikiza mpambano huo kwa kucheza utangulizi ni Mussa Shuza atakaezichapa na Hassani Mgosi na Mohamed Kashinde atapambana na Ally Bugingo wakati Jems Martin ataoneshana umwamba na Hamza Mchanjo

mratibu wa mapambano hayo Said Mbelwa amesema ameamua kuwainua vijana kwa namna moja au nyingine ili nawo waweze kunufaika na mchezo wa masumbwi kwa kucheza na kupata mapato katika michezo watakaocheza na kujiwekea rekodi nzuri katika ngumi

No comments:

Post a Comment