Tangazo

Pages

Wednesday, June 25, 2014

MPAMBANO WA NGUMI KUFANYIKA KOBELO PUB MANZESE JUNI 28

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMIMPAMBANO wa masumbwi utafanyika juni 28 katika ukumbi wa kobelo pub uliopo manzese akizungumzia maandalizi ya mpambano huo Ramadhani Uhadi 'Rama Jah' kuwa yameshakamilika hivyo wanasubili siku ya siku tu ila mambo yawe haharani

mapambano hayo kwa ajili ya kuweka rekodi kwa vijana wanaotamba katika mchezo wa ngumi na wapya ili wawe chachu ya kuinua mchezo huo siku hiyo bondia Inocent Zombi atapambana na Mfaume Master wakati Koba Dodati atacheza na Hassani Mussa na Rashid Lugaira atapambana na Azizi Ally Fadhili Athumani atamkabili All Libaba mpambano mwingine utawakutanisha Amani Juma na Omari Rajabu

mapambano yote hayo yataanza saa kumi na moja jioni kwa kingilio cha 5000, tu

No comments:

Post a Comment