Tangazo

Pages

Monday, June 30, 2014

NGUMI ZILIVYOPIGWA MWANANYAMALA NDANI YA MFUNGO WA RAMADHANI



Bondia JuliasKisarawe kushoto akipambana na Patrick Nne wakati wa mchezo wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Kisarawe alishinda kwa point Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Mwinyi Mzengela  kushoto akimtupia konde la kushoto bondia Georege Manywele wakati wa mpambano wao wa kumaliza ubishi uliofanyika katika ukumbi wa CCM Mwijuma Mwananyamala mwishoni mwa wiki iliyopita Mzengela alishinda kwa K,O ya raundi ya nne picha na 
Bondia Josepher Mbowe akipambana na Mfaume Alkaida wakati wa mpambano wao mbowe alishinda katika raundi ya pili picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments:

Post a Comment