Tangazo

Pages

Friday, March 9, 2012

ZENGWE TRA LAMKABILI MANNY PACQUIAO


Hii ni picha ya maktaba iliyopigwa Mei 7, 2011, Manny
Pacquiao wa Philippines (kulia) akizipiga na Shane Mosley wa Marekani
(kushoto)katika pambano la taji la WBO, uzito wa Welter kwenye ukumbi wa
Garden Arena, MGM Grand mjini Las Vegas, Nevada. Marekani, Manny Pacquiao
anakabiliwa na kesi ya kukwepa kodina Maofisa wamesema leo watatoa tamko rasmi
kama mbabe huyo milionea amelipa kodi

No comments:

Post a Comment