Tangazo

Pages

Saturday, December 5, 2015

MABONDIA YONAS SEGU NA MFAUME MFAUME WASAINI MKATABA KUZIPIGA FEB 20 MANZESE

Mabondia Mfaume Mfaume kushoto na Yonas Segu wakitunishiana misuli baada ya kusaini mkataba wa kuzipiga feb 2o katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaam katikati ni Promota wa mpambano wa masumbwi Side Mkigoma Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondi Mfaume Mfaume na Yonas Segu wakisaini mkataba wa kuzipiga feb 20 katika ukumbi wa frends corner manzese katikati ni promota Side Mkigoma Picha na SUPER D BOXING NEWS


Promota wa mpambano wa masumbwi Side Mkigoma katikati akimkabidhi mkataba bondia Yonas Segu atakaezipiga na mfaume mfaume feb 20 katika ukumbi wa frends corner manzese
Picha na SUPER D BOXING NEWS

No comments:

Post a Comment