Tangazo

Pages

Wednesday, December 16, 2015

HASSAN KIWALE 'MORO BEST' AIBUKIA KWA SUPER D COACH

Bondia Vicent Mbilinyi kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Hassan Kiwale 'Moro Best' wakati wa mazoezi ya kujiandaa na mapambano yao desemba 25  katikati ni kocha Rajabu Mhamila 'Super D' Picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akiwaongoza mabondia kufanya mazoezi ya kuimalisha misuli ya tumbo kushoto ni Vicent Mbilinyi, Hassani Kiwale 'Moro Best' na Ibrahimu abass Picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila Super D' kulia akimwelekeza jinse ya kutupa makonde bondia Hassani Kiwale 'Moro Best' wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa na mpambano wa ubingwa utakaofanyika desemba 25 na Selemani Bangaiza Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Hassan Kiwale 'Moro Best' kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Vicent Mbilinyi wakati wa mazoezi ya kujiandaa na mapambano yao ya desemba 25 mwingine ni kocha Rajabu Mhamila 'Super D' Picha na SUPER D BOXING NEWS
BONDIA HASSANI KIWALE 'MORO BEST' AKIWA NA KOCHA WA KIMATAIFA RAJABU MHAMILA 'SUPER D

BONDIA HASSANI KIWALE 'MORO BEST' AKIWA NA KOCHA WA KIMATAIFA RAJABU MHAMILA 'SUPER D

BONDIA HASSANI KIWALE 'MORO BEST' AKIWA NA KOCHA WA KIMATAIFA RAJABU MHAMILA 'SUPER D

KOCHA WA KIMATAIFA WA MCHEZO WA MASUMBWI NCHINI RAJABU MHAMILA 'SUPER D' AKIWA NA MABONDIA HASSANI KIWALE'MORO BEST' OMARI BAI NA VICENT MBILINYI






No comments:

Post a Comment