Tangazo

Pages

Sunday, May 19, 2013

TASWA FC YAWAFUNGA TIMU YA MPIRA YA MABONDIA KWA TABU 2.1



Bonia Daudi Muhuzi akishindana na Mbuyu wa timu ya TASWA FC Majuto Omari wakati wa mpambano wao
Kocha wa kimataifa wa Mchezo wa Masumbwi Nchini Rajabu Mhamila ' Super D' akisisitiza jambo wakati wa mapumziko
Mchezaji wa timu ya Taswa akipambana na bondia kuwania mpira
SUPER D BOXING COACH AKISISITIZA JAMBO WAKATI WA MAPUMZIKO WA MCHEZO HUO

No comments:

Post a Comment