Tangazo

Pages

Sunday, May 5, 2013

Floyd Mayweather Jr akata ngebe za Robert “The Ghost” Guerrero

Bondia Floyd Mayweather Jr kushoto akimrushia ngumi mfululizo Robert “The Ghost” Guerrero wakati wa mpambano wao uliofanyika alfajiri ya leo
Bondia Robert “The Ghost” Guerreroakiwa chini baada ya kupata konde zito kutoka kwa Floyd Mayweather Jr  wakati wa mbambano wao uliofanyika alfajiri ya leo maywether alishinda mpambano uho kwa point
Bondia Floyd Mayweather Jr kushotoakioneshana ufundi wa kutupiana makonde na Robert “The Ghost” Guerrero wakati wa mpambano wao maywether alishinda kwa point

No comments:

Post a Comment