Tangazo

Pages

Monday, May 27, 2013

DEO NJIKU ALIPOMSAMBALATISHA OMAR RAMADHANI MOROGORO

Bondia Deo Njiku kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Omari Ramadhani wakati wa mpambano wao wa ubingwa wa Taifa Njiku alishinda kwa TKO ya raundi ya pili na kuwa bingwa mpya wa Taifa picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

kocha wa Kimataifa wa Mchezo wa masumbwi Rajabu Mhamila 'Super D' akiwepo kushudia mpambano huo uliofanyika Morogoro

Mabondia wa Utangulizi wakisafisha jukwaa kabla ya mtanange wenyewe

Chembu Upcat Kidevu lazima ukae ndivyo inavyo someka picha hii

Omari Ramadhani kushoto akipambana na Deo Njiku wakati wa mpambano wao wa kugombania ubingwa wa Taifa Njiku alishinda kwa TKO ya raundi ya pili picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com


No comments:

Post a Comment