Tangazo

Pages

Saturday, October 29, 2011

MATUMLA, MIYAYUSHO WAPIMA UZITO LEO KWA AJILI YA MPAMBANO KESHO

 Ramadhani Shauli akipima uzito kulia ni mpinzani wake Issa Sewe

 Mbwana Matumla akipima uzito kwa ajili ya mpambano kesho jumapili
Mabondia Fransic Miyayusho kushoto na Mbwana Matumla wakitunishiana misuli baada ya kupima uzito leo

No comments:

Post a Comment