Tangazo

Pages

Saturday, October 15, 2011

DEO NJIKU AJIFUA KUMKABILI JONAS SEGU WIKI IJAYO


Kocha wa Mchezo wa ngumi, Boma Kilangi (kushoto) akimsimamia mazoezi bondia Deo Njiku wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa na mpambano wake wa ubingwa zidi ya Jonas Segu litakalofanyika Uwanja wa Jamuhuri Morogoro wiki ijao.(picha www.superdboxingcoach.blogspot.com)

Deo Njiku akijifua kikamilifu

No comments:

Post a Comment