Tangazo

Pages

Saturday, October 29, 2011

makocha wamekutana

Kocha wa mchezo wa ngumi Nchini, Rajabu Mhamila 'Super D Boxing Coach' (kushoto) akisalimiana na mchezaji wa zamani  Bryan Robson ambaye ni kocha wa mchezo wa mpira wa miguu walipokutana  wakati wa clinic ya  Airtel Rising Stars kushoto ni mwandishi mwani nyangasa

No comments:

Post a Comment