Tangazo

Pages

Sunday, October 2, 2011

KASEBA ALIVYOCHUKUA UBINGWA WA PST UZITO WA KG. 72

Mbunge wa Jimbo la Kinondoni Iddy Azani akimvisha mkanda wa ubingwa unaotambuliwa na chama cha mchezo wa ngumi za kulipwa PST bondia Japhet Kaseba baada ya kumtwanga Maneno Oswald kwa Point  jijini Dar es salaam jana.(picha na http://www.superdboxingcoach.blogspot.com/)
 
Baadhi ya mashabiki wakiangalia mpambano
Ernest Bujiku alitoka sale na Ambokile Chusa








No comments:

Post a Comment