Tangazo

Pages

Friday, October 4, 2013

MABONDIA Juan Manuel Marquez na Tim Bradley bingwa kucheza na mayweather

MABONDIA Juan Manuel Marquez na Tim Bradley wanatarajia kupanda ulingoni oktober 12 mwaka huu ambapo mabondia hawo waliowai kumtwanga bondia machachari Manny Paquai wamelezwa kuwa mpambano huo ndio utakaotoa dila ya nani acheze na bondia bingwa asiyepigika duniani Floyd Mayweather ambaye hivi karibuni alimtwanga kwa point bondia machachari na kijana mdogo kiumri canelo alvarez ambaye ndie aliyewanyanyasa mabondia wengi na kustop kwa Mayweather JR sasa kinachosubiliwa siku dakika na saa

No comments:

Post a Comment