Tangazo

Pages

Wednesday, October 2, 2013

IDD MNYEKE ALIVYO MSAMBALATISHA Keis Amal

Refarii wa mchezo wa masumbwi nchini Saidi Chaku akimwinua mkono juu bondia Idd Mnyeke kuwa mshindi baada ya kumsambalatisha, Keis Amal wengine kushoto ni Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' wengine kulia ni kocha Cristopher Mzazi na Ramadhani Shauli picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Idd MNyeke kushoto akipambana na Keis Amal wakati wa mpambano wao wa masumbwi mnyeke alishinda kwa point
Bondia Idd MNyeke kushoto akipambana na Keis Amal wakati wa mpambano wao wa masumbwi mnyeke alishinda kwa point
Bondia Keis Amal kushoto akipambana na Idd Mnyeke wakati wa mpambano wao Mnyeke alishinda kwa point
Refarii wa mchezo wa masumbwi nchini Saidi Chaku  kutangazwa kwa matokeo ya  Idd Mnyeke kuwa mshindi baada ya kumsambalatisha, Keis Amal wengine kushoto ni Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' wengine kulia ni kocha Cristopher Mzazi na Ramadhani Shauli picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments:

Post a Comment