Tangazo

Pages

Friday, November 21, 2014

BONDIA MTANZANIA FADHILI MAJIHA KUMSINDIKIZA MANNY PAQUAIO NOVEMBA 22 MACAO CHINA

Na Mwandishi Wetu
BONDIA Fadhili majiha kwa mara ya kwanza ataiwakilisha nchi ya tanzania akicheza katika mpambano wa utangulizi wa bondia mkubwa duniani Manny Paquaio na Chris Algieri mpam
bano utakaofanyika 


Cotai Arena, Venetian Resort, Macao, Macao S.A.R., China mpambano ambao bonia mtanzania Fadhili Majiha atavaana na Jerwin Ancajas kutoka Philippines mpambano utakaokuwa wa raundi 8 

mch
ezo uliopowa hadhi ya nyota mbili ambapo watanzania wote wanapaswa kumuombea duwa bondia nambari moja kwa ubora nchini tanzani kwa ajili ya kutuwakilisha katika mpambano uho mkubwa wa kimataifa ambapo zaidi ya watu wengi duniani watakuwa wakiangalia mojakwa moja kupitia luninga zao

Majiha ambaye hivi karibuni ametokea nchini Bangkok, Thailand alipocheza mpambano wake wa mwisho wa raundi 12 na kupoteza kwa pointi amewakikishia wa

tanzania kuwa bado yupo fiti na atafanya maajabu siku hiyo kwa kumtwanga MPhilippines huyo ambaye atakutana nae siku  hiyo
 

No comments:

Post a Comment