Tangazo

Pages

Tuesday, January 29, 2013

MABONDIA WAPIMA UZITO MASHINDANO YA KLABU BINGWA KUANZA KESHO

Bondia Selemani Kidunda wa Klabu ya ngome ambaye aliwakilisha Tanzania katika mashindano ya Olimpic yaliyofanyika London mwaka jana akipima uzito, Dar es salaam Leo kwa ajili ya mashindano ya Klabu bingwa yanayoanza kesho katika uwanja wa ndani wa taifa picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Abdallah Shamte wa Klabu ya Ashanti ya Ilala akipima uzito kwa ajili ya mashindano ya Klabu Bingwa yatakayoanza kesho katika uwanja wa ndani wa Taifa Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments:

Post a Comment