Friday, July 29, 2011
TENDE HIZOOOO MSIMU WAKE UHO EHEEE
Tuesday, July 26, 2011
Timu ya wabunge ya POOL yakikabidhiwa zawadi Dodoma


Picha na Anna Nkinda - Maelezo

Thursday, July 21, 2011
DVD MPYA ZA NGUMI ZATOKA
- DVD MPYA ZA MANNY PAQUAO NA FLOYD MAYWETHER ZIPO MTAANI ZINAPOATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI PIGA SIMU 0652755838 AU WASILIANA NA KOCHA SUPER D KWA 0787,0774-406938 AU FIKA KAMBI YA ILALA AU TIMU YA ASHANTI
Saturday, July 16, 2011
ILALA WAPATA SAPOTI YA MAJI KWA AJILI YA MAPAMBANO YA JUMAPILI JULAI 17
MCHAKATO wa Kuendeleza mchezo wa ngumi za Ridhaa Katika Mkoa wa
Kimichezo wa ILALA, unatarajiwa kuingia katika hatua nyingine Julai 17 kati ya klabu za ngumi ya Amana, Matimbwa,Ashanti,Bigrayt na klabu nyingine
Mapambano hayo ya raundi nne, yanatarajiwa kufanyika katika ukumbi wa
Panandi Panandi uliopo bungoni Wilaya ya ILala ambapo mabondia wanne
kutoka katika kila klabu, watachapana makonde.
Mabondia wa Amana watakaopanda siku hiyo ni IBrahimu Class Kg.64,
Khalfani Othumani Kg 57, Kassimu Sambo Kg 54, na Saidi Ally Kg 48.
Klabu ya Matimbwa itawakilishwa na MOhamedi Matimbwa Kg 64, MOhamedi
Akizungumza Dar es Salaam leo Mratibu wa mapambano hayo ambae pia ni
kocha wa mchezo wa ngumi akishirikiana na Kinyogoli Foundition, Rajabu
Mhamila Super D, Alisema mpango huo utaendelea mpaka wahakikishe
wamefanikiwa kuibua vibaji na kuviendeleza
Alisema tangu waanze mpango wa kuandaa mapambano mkohani humo
wamefanikiwa kurudisha hamasa ya mchezo huo mkoani humo na kuwataka
wadau mbalimbali kutoa sapoti kwa mchezo huo ili upate kuendelea
ambapo Super D alitoa mfano wa vitu wanavyoviitaji ikiwemo posho za
nauli kwa wachezaji vifaa vya kuwatia moyo na zawadi mbalimbali kwa
mabondia
Super D aliwashukulu wadau waliojitolea katoni 15 za maji kwa ajili ya kuendesha mashindano hayo yatakayofanyika jumapili ya Julai 17 aliwataja waliosaidia kuwa Mohamed Sadiq 'Muddy Kala' na Mwanamama Halima Kaubanika aliyejitolea maji kwa wachezaji wote watakaocheza kwa siku hiyo
KAMBI YA ILALA YAKABIZIWA MAJI KWA AJILI YA MPAMBANO WA JUMAPILI JULAI 17
WAHARIRI WAPOKEA VYETI VYAO BAADA YA KUMALIZIKA KWA MKUTANO WA JUKWAA LA WAHARIRI ARUSHA


JUKWAA LA WAHARIRI WATEMBELEA KIWANDA CHA SERENGETI MOSHI NA KUCHEZA MPIRA WA MIGUU NA WAFANYAKAZI







Monday, July 4, 2011
Mafunzo ya ngumi yaendelea kambi ya Ilala
Kocha wa Mchezo wa ngumi Habibu KInyogoli (kushoto) akimwonesha jinsi
ya kupiga tumbo bondia Yohana Robart wakati wa mazoezi ya kambi ya
Ilala yanayoendelea katika ukumbi wa Amana CCM DAr es Salaam Robart
anajiandaa na mpambano na Rashidi Ally utakaofanyika jumamosi ya Julay
ya kupiga tumbo bondia Yohana Robart wakati wa mazoezi ya kambi ya
Ilala yanayoendelea katika ukumbi wa Amana CCM DAr es Salaam Robart
anajiandaa na mpambano na Rashidi Ally utakaofanyika jumamosi ya Julay
9
Kocha wa Mchezo wa ngumi Habibu KInyogoli (kushoto) akiwaelekeza
babondia Rashidi Mhamila, YOhana Robart na Omari Bai jinsi ya
kupishana na kumi pamoja na kupiga wakati wa mazoezi ya kambi ya Ilala
yanayofanyika Amana CCM
Subscribe to:
Posts (Atom)