Tangazo

Pages

Monday, July 4, 2011

Mafunzo ya ngumi yaendelea kambi ya Ilala

Kocha wa Mchezo wa ngumi Habibu KInyogoli (kushoto) akimwonesha jinsi
ya kupiga tumbo bondia Yohana Robart wakati wa mazoezi ya kambi ya
Ilala yanayoendelea katika ukumbi wa Amana CCM DAr es Salaam Robart
anajiandaa na mpambano na Rashidi Ally utakaofanyika jumamosi ya Julay
9

 

Kocha wa Mchezo wa ngumi Habibu KInyogoli (kushoto) akiwaelekeza
babondia Rashidi Mhamila, YOhana Robart na Omari Bai jinsi ya
kupishana na kumi pamoja na kupiga wakati wa mazoezi ya kambi ya Ilala
yanayofanyika Amana CCM

No comments:

Post a Comment