Tangazo

Pages

Friday, August 25, 2017

MABONDIA KIVU ABDI NA CHESA BULI KUPAMBANA OCKTOBA 20 MANYARA PARK

Bondia Chesa Buli kushoto akitunishiana misuli na Kivu Adbi baada ya kusaini mkataba wa makubaliano ya kuzipiga Ocktoba 21 katikati ni promota wa mpambano huo Robert Ateta  Picha na SUPER D BOXING NEWS








Bondia Chesa Buli kushoto akitunishiana misuli na Kivu Adbi baada ya kusaini mkataba wa makubaliano ya kuzipiga Ocktoba 21 katikati ni promota wa mpambano huo Robert Ateta  Picha na SUPER D BOXING NEWS




CHESI BULI

MABONDIA WAPIMA UZITO KUPIGANA KESHO VIJANA KINONDONI

Mabondia Baina Mazola kushoto akitunishiana misuli na Fransic Miyeyusho baada ya kupima uzito leo kwa ajili ya mpambano wao jumamoso Agost 26 katika ukumbi wa Vijana Kinondoni Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mratibu wa mpambano wa masumbwi kaizirege Dragon Kaizum katikati akiwatambulisha mabondia mbele ya wahandishi wa habari kushoto ni Baina Mazola na Fransic Miyeyusho baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa agost 26 jumamosi hii litakalofanyika katika ukumbi wa vijana kinondoni Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Selemani Simba akipama uzito kwa ajili ya mpambano wake na Kallage Hassani utakaofanyika jumamosi ya agost 26 katika ukumbi wa vijana kinondoni Picha na SUPER D BOXING NEWS

Mabondia Kallage Hassani kushoto akituniashiana misuli na Selemani Simba 'Singida United' baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika kesho agost 26  katika ukumbi wa Vijana Kinondoni Picha na SUPER D BOXING NEWS


Mabondia Kallage Hassani kushoto akituniashiana misuli na Selemani Simba 'Singida United' baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika kesho agost 26  katika ukumbi wa Vijana Kinondoni Picha na SUPER D BOXING NEWS



Mabondia Cosmas Cheka Kushoto akitambiana na Haidal Mchanjo baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika kesho Agost 26 katika ukumbi wa Vijana Kinondoni 
Picha na SUPER D BOXING NEWS
Na Mwandishi Wetu
MABONDIA Baina Mazola 'Simba Mazola' na Fransic Miyeyusho 'Chichi Mawe'  wamepia uzito kwa ajili ya mpambano wao  utakaofanyika jumamosi Agost 26 katika ukumbi wa Vijana Kinondoni mpambano wa raundi nane uzito wa kg 57

Wakiongea kwa nyakati tofauti kambi hizo zimejigamba kila mmoja kumpiga mwenzake raundi za awali

Kwa upande wa Miyeyusho amejigamba kuwa katika mabondia wa Mabibo wanaofundishwa na kocha Cristopher Mzazi akuna anae msumbua ata mmoja hii ni pambano la kisasi ukumbuke kuwa Mzazi ana mabondia wengi na mimi ndie ninae mwalibia


Kwa upande wa Mazola nae ametamba kumsambalatisha mpinzani wake raundi za mwanzo kwani ana jipya ukumbuke mchezo wa ngumi sio sawa na michezo mingine umri ukienda biashara imekwisha sasa naenda kumstafisha ngumi rasmi yule babu hivyo wapenzi waje kwa wingi siku hiyo ili waone ninavyo mwachisha ngumi

nae mratibu wa mpambano huo kaizirege Dragon Kaizum amesema mbali na mpambano uho kutakuwa na mapambano mengine ya utangulizi wakati bondia kutoka Singida Selemani Simba 'Singida Unaited' atakumbana na Kallage Ramadhani na Sajo Bosco atapambana na Juma Rashidi Issa Nampepecha ataoneshana umwamba na Abbas Mwamba wakati Karim Ramadhani ataoneshana kazi na Yohana Dhobian na Keisii Amali atakuchiana ngumi na Hashimu Chisola na Said Wigo atazipiga na Chicho Ramadhani

Mapambano haya yote yatasimamiwa na Kamisheni ya ngumi za kulipwa nchini TPBC ambayo yenye dhamana ya kuendesha mchezo wa ndondi za kulipwa nchini


Katika mpambano huo siku hiyo kutakuwa na uzwaji wa DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi  kali pamoja na kutambua sheria zake zikiwa na mabondia wakali kama vile
Manny Paquaio, Saul 'canelo' alverez ,Floyd Mayweathar,Mike Tyson,Mohamed Ali,Ferex Trinidad,Miguel Cotto na wengine wengi
pia kuta kuwa na vifaa vya mchezo vitakaokuwa vikitolewa na Rajabu Mhamila 'Super D' kwa mabondia watakaofanya vizuri siku hiyo na vingine kuuzwa kwa pesa taslimu na kocha huyo kwa ajili ya kuhamasisha mchezo wa masumbwi





Sunday, August 20, 2017

MABONDIA BAINA MAZOLA NA FRANSIC MIYEYUSHO WAZIDI KUTAMBIANA KUMALIZA UBISHI AGOST 26 VIJANA KINONDONI

Na Mwandishi Wetu

MABONDIA Baina Mazola 'Simba Mazola' na Fransic Miyeyusho 'Chichi Mawe' wamendelea kutambiana kwa ajili ya mpambano wao ujao utakaofanyika Agost 26 katika ukumbi wa Vijana Kinondoni mpambano wa raundi nane uzito wa kg 57

Wakiongea kwa nyakati tofauti kambi hizo zimejimba kila mmoja kumpiga mwenzake raundi za awali

Kwa upande wa Miyeyusho amejigamba kuwa katika mabondia wa Mabibo wanaofundishwa na kocha Cristopher Mzazi akuna anae msumbua ata mmoja hii ni pambano la kisasi ukumbuke kuwa Mzazi ana mabondia wengi na mimi ndie ninae mwalibia mara ya kwanza nilimvunja mbavu bondia wake Ramadhani Shauli akakaa mbali na mchezo wa ngumi mwaka mzima wakaniletea bondia mwingine Nassibu Ramadhani nae nikafanya hivyo hivyo sasa wamemleta huyu Mazola nita akikisha  navunja mbavu kama nilivyo wafanyia wenzake wawili

Kwa upande wa Mazola nae ametamba kumsambalatisha mpinzani wake raundi za mwanzo kwani ana jipya ukumbuke mchezo wa ngumi sio sawa na michezo mingine umri ukienda biashara imekwisha sasa naenda kumstafisha ngumi rasmi yule babu hivyo wapenzi waje kwa wingi siku hiyo ili waone ninavyo mwachisha ngumi

nae mratibu wa mpambano huo kaizirege Dragon Kaizum amesema mbali na mpambano uho kutakuwa na mapambano mengine ya utangulizi wakati bondia kutoka Singida Selemani Simba 'Singida Unaited' atakumbana na Kallage Ramadhani na Sajo Bosco atapambana na Juma Rashidi Issa Nampepecha ataoneshana umwamba na Abbas Mwamba wakati Karim Ramadhani ataoneshana kazi na Yohana Dhobian na Keisii Amali atakuchiana ngumi na Hashimu Chisola na Said Wigo atazipiga na Chicho Ramadhani

Mapambano haya yote yatasimamiwa na Kamisheni ya ngumi za kulipwa nchini TPBC ambayo yenye dhamana ya kuendesha mchezo wa ndondi za kulipwa nchini


Katika mpambano huo siku hiyo kutakuwa na uzwaji wa DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi  kali pamoja na kutambua sheria zake zikiwa na mabondia wakali kama vile
Manny Paquaio, Saul 'canelo' alverez ,Floyd Mayweathar,Mike Tyson,Mohamed Ali,Ferex Trinidad,Miguel Cotto na wengine wengi
pia kuta kuwa na vifaa vya mchezo vitakaokuwa vikitolewa na Rajabu Mhamila 'Super D' kwa mabondia watakaofanya vizuri siku hiyo na vingine kuuzwa kwa pesa taslimu na kocha huyo kwa ajili ya kuhamasisha mchezo wa masumbwi

BONDIA SELEMANI SIMBA HAPANIA KUTOA KICHAPO KWA MABONDIA KUANZIA AGOST 26 VIJANA

Na Mwandishi Wetu


BONDIA wa ngumi za kulipwa kutoka Singida Selemani Simba 'Singida Unaited' amendelea na mazoezi ya kujifua kwa ajili ya mpambano wake wa Agost 26 utakaofanyika katika ukumbi wa Vijana Kinondoni ambapo atapambana na Kallage Ramadhani bondia anaenolewa na kocha mkongwe katika ngumi Rajabu Mkamba

Akizungumzia mpambano wake Simba amesema kuwa amekuja Dar kwa ajiri ya kupambana na kuwapiga mabondia wote watakaopambana nae wakati wowote ule bondia huyo mpaka sasa kashapigana mapambano mawili kati ya hayo mawili kashinda moja na kudundwa moja

akizungumzia matarajio yake katika masumbwi amesema anatamani kufika mbali zaidi kama Ibrahimu Class 'King Class Mawe' walivyofanikiwa kufika mbali na mpaka sasa kuwa bingwa wa Dunia

katika mpamano uho siku hiyo kutakuwa na mapambano mengine ya ubingwa kati ya bondia Fransic Miyeyusho 'Chichi Mawe'  na Baina Mazola 'Simba Mazola'

mapambano mengine ya siku hiyo ni sajo bosco Jr atakumbana na juma rashidi mdobi na Issa Nampepecha ataoneshana umwamba na Abbas Mwamba wakati Karim Ramadhani ataoneshana kazi na Yohana Dhobian na Keisii Amali atakuchiana ngumi na Hashimu Chisola na Said Wigo atazipiga na Chicho Ramadhani

Mapambano haya yote yatasimamiwa na Kamisheni ya ngumi za kulipwa nchini TPBC ambayo yenye dhamana ya kuendesha mchezo wa ndondi za kulipwa nchini


Katika mpambano huo siku hiyo kutakuwa na uzwaji wa DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi  kali pamoja na kutambua sheria zake zikiwa na mabondia wakali kama vile
Manny Paquaio, Saul 'canelo' alv

erez ,Floyd Mayweathar,Mike Tyson,Mohamed Ali,Ferex Trinidad,Miguel Cotto na wengine wengi
pia kuta kuwa na vifaa vya mchezo vitakaokuwa vikitolewa na Rajabu Mhamila 'Super D' kwa mabondia watakaofanya vizuri siku hiyo na vingine kuuzwa kwa pesa taslimu na kocha huyo kwa ajili ya kuhamasisha mchezo wa masumbwi

Tuesday, August 8, 2017

MAREFARII WA TPBC WAKUTANA NA MWAKYEMBE

Marefarii na majaji wa mchezo wa masumbwi nchini wakiwa katika picha ya pamoja na waziri wa habari sanaa utamaduni na michezo Herrisson Mwakyembe wakati wa kumpongeza bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe mwishoni mwa wiki iliyopita Picha na SUPER D BOXING NEWS

Marefarii na majaji wa mchezo wa masumbwi nchini wakiwa katika picha ya pamoja na waziri wa habari sanaa utamaduni na michezo Herrisson Mwakyembe wakati wa kumpongeza bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe mwishoni mwa wiki iliyopita Picha na SUPER D BOXING NEWS

MABONDIA BAINA MAZOLA NA FRANSIC MIYEYUSHO KUZIPIGA AGOST 26 KINONDONI



Image may contain: 3 people
BONDIA BAINA MAZOLA 'SIMBA MAZOLA' KUSHOTO NA FRANSIC MIYEYUSHO 'CHICHI MAWE' KUSHOTO
Mwandishi Wetu
MABONDIA Fransic Miyeyusho 'Chichi Mawe' na Baina Mazola 'Simba Mazola' wameingia mkataba wa makubaliano ya kuzipiga siku ya Agost 26 katika ukumbi wa Vijana uliopo Kinondoni Dar es salaam mabondia hawo ambao kila mmoja anatamba kumnyuka mwenzake

katika raundi za awali kwa kila mmoja
mpambano uho umekuwa na mashabiki wengi kila mmoja akijinasibu kumdunda mwenzake pande hizo mbili zinazotaka kujua nani zaidi ya mwenzie ni kambi ya Mazola ambapo anatokea kitongoji cha Mabibo ambapo kuna mabondia wengi upande uho 

uku Miyeyusho akitaka kuonesha ukongwe wake katika masumbwi na kusema yeye ni zaidi ya mabondia wote katika uzito wake

akizungumzia mpambano uho mratibu wa pambano ilo kaizirege jabiri dragon kaizum amesema mbali ya mpambano uho kutakuwa na mapambano mengine mengi tu yatakayosindikiza siku hiyo

sajo bosco Jr atakumbana na juma rashidi mdobi na Issa Nampepecha ataoneshana umwamba na Abbas Mwamba wakati Karim Ramadhani ataoneshana kazi na Yohana Dhobian na Keisii Amali atakuchiana ngumi na Hashimu Chisola na Said Wigo atazipiga na Chicho Ramadhani

Mapambano haya yote yatasimamiwa na Kamisheni ya ngumi za kulipwa nchini TPBC ambayo yenye dhamana ya kuendesha mchezo wa ndondi za kulipwa nchini


Katika mpambano huo siku hiyo kutakuwa na uzwaji wa DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi  kali pamoja na kutambua sheria zake zikiwa na mabondia wakali kama vile
Manny Paquaio, Saul 'canelo' alverez ,Floyd Mayweathar,Mike Tyson,Mohamed Ali,Ferex Trinidad,Miguel Cotto na wengine wengi
pia kuta kuwa na vifaa vya mchezo vitakaokuwa vikitolewa na Rajabu Mhamila 'Super D' kwa mabondia watakaofanya vizuri siku hiyo na vingine kuuzwa kwa pesa taslimu na kocha huyo kwa ajili ya kuhamasisha mchezo wa masumbwi

Saturday, July 29, 2017

MABONDIA IDD MKWELA VICENT MBILINYI SELEMANI SIMBA NA ROLEN JAPHERT WAENDELEA KUNOLEWA NA SUPER D COACH UHURU GYM

Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwiu nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimnowa bondia Idd Mkwela anaeijandaa na mpambano wake wa Agost 12 katika ukumbi wa Manyara Park uliopo Manzese Dar Es salaam Picha na SUPER D


Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwiu nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimnowa bondia Idd Mkwela anaeijandaa na mpambano wake wa Agost 12 katika ukumbi wa Manyara Park uliopo Manzese Dar Es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS



Kocha wa Kimataifa wa Mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimwelekeza bondia Vicent Mbilinyi jinsi ya kupiga ngumi za mkunjo wa chini 'upcut' wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D Uhuru GYM kariakoo Shule ya Uhuru Dar es alaam Picha na SUPER D BOXING NEWS


Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa Masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' wa pili kutoka kulia akiwa na mabondia Selemani Simba Vicent Mbilinyi na Idd Mkwela Picha na SUPER D BOXING NEWS

Mabondia Idd Mkela na Rolen Japhert wakioneshana umwamba wa kutupiana makonde wakati wa mazoezi yanayoiendelea katika kambi ya Super D Coach Uhuru GYM Shule ya Uhuru Kariakoo Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS


KAMBI YA SUPER D COACH UHURU GYM KARIAKOO 

BONDIA IDD MKWELA



SELEMAN SIMBA

Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimnowa bondia Selemani Simba wakati wa mazoezi yanayo endelea katika kambi ya Super D Uhuru DGYM Kariakoo Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS

KOCHA WA KIMATAIFA WA MCHEZO WA MASUMBWI NCHINI RAJABU MHAMILA 'SUPER D' KUSHOTO AKIWA NA MABONDIA SELEMANI SIMBA, VICENT MBILINYI NA IDD MKWELA BAADA YA MAZOEZI



ROLEN JAPHERT