Saturday, March 30, 2019
Monday, March 25, 2019
BONDIA IDDI MKWELA HATUA NCHINI NA KUPIGIA MIKWALA ROJAS MASAMU BAADA YA KUSHINDA KWA K,O KENYA
Na Mwandishi Wetu

Katika mpambano wa raundi kumi uzito wa kg 61
Mpambano uho ulioandaliwa na Promota wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa pambano hilo litafanyika siku hiyo likiwa limechagizwa na
Super D aliongeza kwa kusema kuwa mbali na pambano hilo siku hiyo kutakuwa na mapambano mbalimbali yatakayokuwa yanafanyika siku hiyo ambapo bondia Hussein Pendeza atamkabili Juma Ramadhani 'Choki' na Shomari Milundi ataoneshana umwamba na Bakari Mbede wakati ibrahimu Makubi atavaana na Haruna Ndalo na Ramadhani Mbegu 'Migwede' atakabiliana na Rashidi Mnyagatwa na Salum Tandu zidi ya Gerald Mkude na Sunday Kiwale 'Moro Best' atalindima na Luckman Ramadhani Vicent Mbilinyi na Shabani Mbogo Hussein Shemdoe na Shehe Azizi na Ahmadi Kombo atakumbana na Sandali Nyambala
Mapambano yote hayo yanaletwa kwenu na kampuni tanzu ya kizalendo ya Super D Boxing Promotion ambayo ipo nchini Tanzania kwa ajili ya kuinuwa vipaji ya vijana mbalimbali ili kuendeleza vipaji vyao pendwa
na kupitia kampuni ya Super D Promotion imejizatiti kuweka angalau pambano moja kila baada ya miezi milili ili kuwasaidia vijana mbalimbali kukuza vipaji vyao na kujiendeleza kupitia mchezo uho wa masumbwi nchini
BONDIA IDDI MKWELA HATUA NCHINI NA KUPIGIA MIKWALA ROJAS MASAMU BAADA YA KUSHINDA KWA K,O KENYA

Na Mwandishi WetuBondia Idd Mkwera baada ya kumsambalatisha bila ya huruma Nicholas mwangi kutoka kenya kwa K,O ya raundi ya 2 wakati alipokuwa akicheza mpambano wa utangulizi wiki iliyopita katika mpambano wa Hassani Mwakinyo na Sergio Eduardo Gonzalez kutoka Argentina na kufanikiwa kumdunda raundi ya 5 sasa amerudi nchini kwa ajili ya mpambano wake utakaofanyika April 20 katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu Magomeni Mapipa kukabiliana na Rojas Masamu
Katika mpambano wa raundi kumi uzito wa kg 61
Mpambano uho ulioandaliwa na Promota wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa pambano hilo litafanyika siku hiyo likiwa limechagizwa na
Super D aliongeza kwa kusema kuwa mbali na pambano hilo siku hiyo kutakuwa na mapambano mbalimbali yatakayokuwa yanafanyika siku hiyo ambapo bondia Hussein Pendeza atamkabili Juma Ramadhani 'Choki' na Shomari Milundi ataoneshana umwamba na Bakari Mbede wakati ibrahimu Makubi atavaana na Haruna Ndalo na Ramadhani Mbegu 'Migwede' atakabiliana na Rashidi Mnyagatwa na Salum Tandu zidi ya Gerald Mkude na Sunday Kiwale 'Moro Best' atalindima na Luckman Ramadhani Vicent Mbilinyi na Shabani Mbogo Hussein Shemdoe na Shehe Azizi na Ahmadi Kombo atakumbana na Sandali Nyambala
Mapambano yote hayo yanaletwa kwenu na kampuni tanzu ya kizalendo ya Super D Boxing Promotion ambayo ipo nchini Tanzania kwa ajili ya kuinuwa vipaji ya vijana mbalimbali ili kuendeleza vipaji vyao pendwa
na kupitia kampuni ya Super D Promotion imejizatiti kuweka angalau pambano moja kila baada ya miezi milili ili kuwasaidia vijana mbalimbali kukuza vipaji vyao na kujiendeleza kupitia mchezo uho wa masumbwi nchini
BONDIA IBRAHIMU CLASS AFUDHU VIPIMO SASA RASMI KUPIGANA U.S.A MACHI 30
![]() |
Bondia Mtanzania Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akifanyiwa vipimo nchini Marekani kwa ajili ya mpambano wake wa march 30 katika ukumbi wa Fantasy Springs Casino, Iliyo nchini Marekani. |
![]() |
Bondia Mtanzania Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akifanyiwa vipimo nchini Marekani kwa ajili ya mpambano wake wa march 30 katika ukumbi wa Fantasy Springs Casino, Iliyo nchini Marekani. |
![]() |
Bondia Mtanzania Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akifanyiwa vipimo nchini Marekani kwa ajili ya mpambano wake wa march 30 katika ukumbi wa Fantasy Springs Casino, Iliyo nchini Marekani. |
Na MWANDISHI WETU |
Class atazichapa na bingwa mtetezi, Eduardo Hernandez, Machi 30 pambano la raundi 12 la uzani wa super feather litakalopigwa kwenye ukumbi wa Fantasy Springs Casino, Iliyo nchini Marekani.
Akizungumza moja kwa moja kutoka Marekani, Class alisema baada ya kuhitimisha vipimo kwa mara ya pili na kuthibitika yuko fiti anachosubiri ni siku ya mpambano uhu tu
"Nashukuru vipimo vimeenda vizuri, niko fiti, sina tatizo lolote na kinachosubiriwa ni kupanda ulingoni," alisema Class.
Alisema hana hofu na mpinzani wake ambaye hana rekodi ya kupigwa.
"Mimi ndio na kwenda kuvunja rekodi hiyo, nimemsoma mpinzani wangu kupitia video za mapambano yake ni Bondia wa kawaida sana kwangu tofauti na wanavyomzungumzia watanzania ambao awanielewi
Class kwa nchini Tanzania alikuwa akinolewa na kocha mkongwa wa masumbwi nchini Habibu Kinyogoli 'Masta' pamoja na kocha wa kimataifa wa mchezo huo Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye alikuwa anasimamia mapambano yake yote yaliyokuwa yakifanyika nchini mpaka kufikia levo ya kimataifa
Class amewahaidi watanzania kuwa wasiwe na wasiwasi nae kwani kwa sasa amepata ujuzi zaidi wa mchezo wa masumbwi baada ya kufanya mazoezi uko Marekani na makocha wa kizungu na kugundua mbinu mbali mbali watumiazo wenzetu
aliongeza kwa kusema kuwa mchezo wa ngumi kwake upo kwenye damu na yeye anakuwa mtanzania wa kwanza kucheza ndani ya U.S.A katika kipindi kirefu kilichopita
alisema mpambano uho umedhaminiwa na promota mkubwa Duniani Oscar Dela Hoya kupitia kampuni ya Golden boy Promotion hivyo sitopenda kuwangusha watanzania na kujiangusha mimi mwenyewe katika ulimwengu wa masumbwi naomba watanzania siku hiyo ikifika waniangalie kupitia luninga zao waone nini nakifanya katika Dunia hii
BONDIA IBRAHIMU CLASS AFUDHU VIPIMO SASA RASMI KUPIGANA U.S.A MACHI 30
![]() |
Bondia Mtanzania Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akifanyiwa vipimo nchini Marekani kwa ajili ya mpambano wake wa march 30 katika ukumbi wa Fantasy Springs Casino, Iliyo nchini Marekani. |
![]() |
Bondia Mtanzania Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akifanyiwa vipimo nchini Marekani kwa ajili ya mpambano wake wa march 30 katika ukumbi wa Fantasy Springs Casino, Iliyo nchini Marekani. |
Bondia Ibrahim Class (King Class Mawe) amefanyiwa vipimo kwa mara ya pili kwa ajili ya kupanda ulingoni kuwania ubingwa wa dunia wa Baraza la Ngumi (WBC) kwa vijana
Class atazichapa na bingwa mtetezi, Eduardo Hernandez, Machi 30 pambano la raundi 12 la uzani wa super feather litakalopigwa kwenye ukumbi wa Fantasy Springs Casino, Iliyo nchini Marekani.
Akizungumza moja kwa moja kutoka Marekani, Class alisema baada ya kuhitimisha vipimo kwa mara ya pili na kuthibitika yuko fiti anachosubiri ni siku ya mpambano uhu tu
"Nashukuru vipimo vimeenda vizuri, niko fiti, sina tatizo lolote na kinachosubiriwa ni kupanda ulingoni," alisema Class.
Alisema hana hofu na mpinzani wake ambaye hana rekodi ya kupigwa.
"Mimi ndio na kwenda kuvunja rekodi hiyo, nimemsoma mpinzani wangu kupitia video za mapambano yake ni Bondia wa kawaida sana kwangu tofauti na wanavyomzungumzia watanzania ambao awanielewi
Class kwa nchini Tanzania alikuwa akinolewa na kocha mkongwa wa masumbwi nchini Habibu Kinyogoli 'Masta' pamoja na kocha wa kimataifa wa mchezo huo Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye alikuwa anasimamia mapambano yake yote yaliyokuwa yakifanyika nchini mpaka kufikia levo ya kimataifa
Class amewahaidi watanzania kuwa wasiwe na wasiwasi nae kwani kwa sasa amepata ujuzi zaidi wa mchezo wa masumbwi baada ya kufanya mazoezi uko Marekani na makocha wa kizungu na kugundua mbinu mbali mbali watumiazo wenzetu
aliongeza kwa kusema kuwa mchezo wa ngumi kwake upo kwenye damu na yeye anakuwa mtanzania wa kwanza kucheza ndani ya U.S.A katika kipindi kirefu kilichopita
alisema mpambano uho umedhaminiwa na promota mkubwa Duniani Oscar Dela Hoya kupitia kampuni ya Golden boy Promotion hivyo sitopenda kuwangusha watanzania na kujiangusha mimi mwenyewe katika ulimwengu wa masumbwi naomba watanzania siku hiyo ikifika waniangalie kupitia luninga zao waone nini nakifanya katika Dunia hii
Thursday, March 21, 2019
NGUMI KUPIGWA MAGOMENI MAPIPA 20/04/2019 UKUMBI WA CCM MWINYIMKUU
Na Mwandishi Wetu
MABONDIA Idd Mkwera na Rojas Masamu wamesaini kuzipiga April 20 kaika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu uliopo magomeni Mapipa akizungumzia mpambano uho Promota wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa pambano hilo litafanyika siku hiyo kwa kupewa nguvu na
Bondia Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia bondia huyo ndie aliesababisha mabondia hawo wazipige siku hiyo kwa kuwa vijana wanatakiwa kuendeleza rekodi zao za masumbwi kila wakati ndio mana akaongeza nguvu ili mpambano uho ufanyike
Super D aliongeza kwa kusema kuwa mbali na pambano hilo siku hiyo kutakuwa na mapambano mbalimbali yatakayokuwa yanafanyika siku hiyo ambapo bondia Hussein Pendeza atamkabili Juma Ramadhani 'Choki' na Shomari Milundi ataoneshana umwamba na Bakari Mbede wakati ibrahimu Makubi atavaana na Haruna Ndalo na Ramadhani Mbegu 'Migwede' atakabiliana na Rashidi Mnyagatwa na Salum Tandu zidi ya Gerald Mkude na Sunday Kiwale 'Moro Best' atalindima na Luckman Ramadhani Vicent Mbilinyi na Azizi Iddi Hussein Shemdoe na Jitu Rajabu
Mapambano yote hayo yanaletwa kwenu na kampuni tanzu ya kizalendo ya Super D Boxing Promotion ambayo ipo nchini Tanzania kwa ajili ya kuinuwa vipaji ya vijana mbalimbali ili kuendeleza vipaji vyao pendwa
na kupitia kampuni ya Super D Promotion imejizatiti kuweka angalau pambano moja kila baada ya miezi milili ili kuwasaidia vijana mbalimbali kukuza vipaji vyao na kujiendeleza kupitia mchezo uho wa masumbwi nchini
MABONDIA Idd Mkwera na Rojas Masamu wamesaini kuzipiga April 20 kaika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu uliopo magomeni Mapipa akizungumzia mpambano uho Promota wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa pambano hilo litafanyika siku hiyo kwa kupewa nguvu na
Bondia Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia bondia huyo ndie aliesababisha mabondia hawo wazipige siku hiyo kwa kuwa vijana wanatakiwa kuendeleza rekodi zao za masumbwi kila wakati ndio mana akaongeza nguvu ili mpambano uho ufanyike
Super D aliongeza kwa kusema kuwa mbali na pambano hilo siku hiyo kutakuwa na mapambano mbalimbali yatakayokuwa yanafanyika siku hiyo ambapo bondia Hussein Pendeza atamkabili Juma Ramadhani 'Choki' na Shomari Milundi ataoneshana umwamba na Bakari Mbede wakati ibrahimu Makubi atavaana na Haruna Ndalo na Ramadhani Mbegu 'Migwede' atakabiliana na Rashidi Mnyagatwa na Salum Tandu zidi ya Gerald Mkude na Sunday Kiwale 'Moro Best' atalindima na Luckman Ramadhani Vicent Mbilinyi na Azizi Iddi Hussein Shemdoe na Jitu Rajabu
Mapambano yote hayo yanaletwa kwenu na kampuni tanzu ya kizalendo ya Super D Boxing Promotion ambayo ipo nchini Tanzania kwa ajili ya kuinuwa vipaji ya vijana mbalimbali ili kuendeleza vipaji vyao pendwa
na kupitia kampuni ya Super D Promotion imejizatiti kuweka angalau pambano moja kila baada ya miezi milili ili kuwasaidia vijana mbalimbali kukuza vipaji vyao na kujiendeleza kupitia mchezo uho wa masumbwi nchini
Friday, March 1, 2019
SUNDAY KIWALE 'MORO BEST' NA IBRAHIMU MAKUBI KUPIGANA MOROGORO MARCH 2 MSAMVU TERMINAL
Na
Mwandishi Wetu
MABONDIA kutokwa kwa Super D Coach Uhuru GYM Sunday Kiwale 'Moro Best' na Ibrahimu Makubi wapo mkoani morogoro kwa ajili ya mpambano yanayo wakabili ambapo Sunday Kiwale 'Moro Best' atamkabili Said Chalachim kutoka Ifakara wakati Ibrahimu Makumbi atazipiga na Charles Chilala nae kutoka Ifakara
akizungumza baada ya kupima uzito kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa mabondia wake wapo vitani hivyo awatofanya ajizi wala kuwa na msalia Mtume kwani kazi waliyotumwa na mashasbiki zao kutoka Dar es Salaam si yakitoto na awatotaka kuwangusha kwa kuwa wao ni watu wa kazi kazi
nae bondia kiwale anaetamba katika uzito wake amesema kuwa mabondia wengi nchini wanamuogopa ndio mana amekuja kucheza Mkoani ili kuendeleza kipaji chake kisije kikapotea bule kwa sababvu ya kuogopewa na mabondia wa Dar es salaam katika uzito wake kwani kazi yangu wanaijua na kuitambuwa niwapo ulingoni
na bondia Makubi alisema kuwa yeye ni bondia mchanga sana katika ngumi za kulipwa ila ni motto mkali katika masumbwi hivyo nawaomba wapenzi wa mchezo wa ngumi waje kwa wingu kushudia kazi atakayo ifanya
Mabondia hawo wote watakuwa wakisindikiza mpambano wa ubingwa kati ya Twaha Kiduku wa Morogoro na Mada Maugo watakaozipiga raundi kumi kugombea ubingwa wa Taifa nchini
Promota wa mpambano uho kaike Siraju alieleza kwa kusema kuwa ameandaa mapambano mengi sana nchini ususani Morogoro sasa baada ya kumuibua Fransic Cheka sasa ameibuwa mabondia wengine mbalimbali kutoka moro pamoja na vitongoji vyake hivyo kazi kwao mashabiki kutoa sapoti
aliongeza kwa kusema mbali na mapambano hayo kutakuwa na mitanange mingine ya kukata na shoka ambapo bondia Epson John atazipiga na Adamu Ngange na Cosmasi Cheka atakabiliana na Amani Bariki na kingilio katika mapambano yote hayo ni tsh 7000 na V.I.P 15000 na nyote mnakaribishwa
MADA MAUGO KUZIPIGA NA TWAHA KIDUKU MSAMVU MOROGORO MARCH 2
Bondia Twaha Kiduku kushoto akiwa ameshika mkanda wa Taifa watakaogombania yeye na Mada Maugo March 2 Morogoro katika ukumbi wa Terminal Pub uliopo Morogoro Msamvu Picha na SUPER D BOXING NEWS |
Bondia Twaha Kiduku kushoto akiwa ameshika mkanda wa Taifa watakaogombania yeye na Mada Maugo March 2 Morogoro katika ukumbi wa Terminal Pub uliopo Morogoro Msamvu Picha na SUPER D BOXING NEWS |
BONDIA SUNDAY KIWALE 'MORO BEST' AKIPIMA UZITO |
BONDIA IBRAHIMU NMAKUBI AKIPIMA UZITO |
Subscribe to:
Posts (Atom)