Tangazo

Pages

Sunday, December 30, 2018

MABONDIA WAPIMA UZITO KUPIGANA DESEMBA 31 KINESI


Bondia Mussa Msabaha kushoto akitunishiana misuli na Ibrahimu Makubi baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa kufunga mwaka utakaofanyika Desemba 31 katika viwanja vya Kinesi Shekilango maeneo ya Urafiki Picha na Super D Boxing News
Bondia AZizi Uliza akingia na Farasi kwa ajili ya kupima uzito kupambana na Ramadhani Shauri desema 31 katika mpambano wa kufunga mwaka 

Bondia Azizi Uliza akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake wa kufunga mwaka utakaofanyika Desemba 31 katika uwanja wa kinesi uliopo Shekilango akizipiga na Ramadhani Shauri mpambano wa Raundi kumi Picha na Super D Boxing News


MABONDIA WA KIKE WAKITUNISHIANA MISULI


Na Mwandishi Wetu

Mabondia Azizi Uliza na Ramasdhani Shauri wamepima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa Desema 31 mpambano wa kufunga mwaka na kufungua mwaka

alikuwa wa kwanza kabisa kuingia katika viwanja vya las vegasi Mabibo kwa ajili ya kupima uzito ni Azizi Uliza aklieingia uwanjani kwa shangwe na ndelomo uku akisindikizwa na wapambe wake pamoja na vigoma vilivyoleta radha misri ya kuwa mpambano upo siku hiyo ya kupima kumbe ilikuwa siku ya kupima uzitio na Afya kwa mabondia wote watakaocheza

baara ya saa moja bondia Ramadhani Shauri nae akaingia na shangwe na ndelemo vifijo zaidi ya mwenzake ata hivyo nani zaidi ya mwenzie itajulikana katika uwanja wa kines Shekilango ambapo mtanange uho utapigwa kwa raundi 10

akizungumzia mpambano uho Promota  Josepher Nyilawila kutoka kampuni ya Ijuka Sports amesema kuwa ulizi utakuwa ni wa kutosha kupita mahelezo ambapo mtu anaweza kuja na baiskeri yake na kuikuta salama baada ya mpambano

amesema mbali na mpambano uho siku hiyo kutakuwa na mapambano mengine yatakayowakutanisha mabondia mbalimbali 

 Hussein Itaba atazipiga na Kanda Kabongo na Tonny Rashidi atazipiga na Nassoro Madimba kutoka Bagamoyo maeneo ya Kiwangwa na Rolen Japhert atazikunja na Mohamedi Kashinde 'Simba wa Mbagala' nae Baina Mazola ataoneshana umwamba na Faraji Sayuni
alisema mapambano yote hayo yatakuwa kwa kingilio cha tsh 6000 na kwa V.I.P 10000 utaweza kuangalia mapambano yote hayo yani kama vile bule


No comments:

Post a Comment