Thursday, August 30, 2018
OMARI KIMWERI ACHOCHEA MOTO MPAMBANO WA MCHANJO NA SAYUNI WA SEPTEMBA 15 TAIFA
Na Mwandishi Wetu
BONDIA Mtanzania anaefanya shughuli zake nchini austalia Omari Kimweri amechochea Moto mpambano kati ta Fred Sayuni na Haidari Mchanjo kwa kutoa vifaa vya kupigania siku hiyo mabondia hawo watakaozipiga Septemba 15 katika uwanja wa ndani wa Taifa
yeye ndie atakaekuja na vifaa vitakavyo piganiwa ulingni siku hiyo akizungumza na mwandishi wa habari hizi mratibu wa mpambano uho Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa Kimweri ndie atakae kuja na vifaa vya kupigania vipya kabisa siku hiyo kwa ajili ya mabondia hawo watakaozichapa kwa raundi nane ulingoni
mbali na pambano hilo rinalosubiliwa na mshabiki lukuki siku hiyo pia kutakuwa na mapambano mengine ya kukata na shoka ambapo bondia Abdallah Pazi 'Dula Mbabe' atakumbana na George Dimoso na bondia machachali Vicent Mbilinyi atavaana na Saidi Kidedea wakati Mohamedi Kashinde ata vaana na Sadiki Momba na Issa Nampepeche atakabiliana na Faraji Sayuni naBakari Mbede atakutana uso kwa uso na Frenk John
mapambano hayo yote na mengine yataanza saa 12 jioni yani itakuwa mapema ili ngumi hizo ziisha kwa wakati uliopangwa
siku hiyo pia kutakuwa zikiuzwa DVD mpya za masumbwi ambazo zinaonesha mafunzo mbalimbali ya mchezo wa ngumi yanavyoanza hatua kwa hatua
mpaka kujua kitu kamili katika
mchezo huo pia kunakuwa na mapambano ya mabondia mabigwa wa dunia wa mchezo huo kama Floyd
Maywether, Manny Paquaio,mike Tyson, Mohamed Alli pamoja na mabambano ya ngumi ya ndani zilizo taharishwa na kocha maili wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye anajishughulisha na uzaji wa vifaa mbalimbali vya ngumi nchin
Friday, August 17, 2018
MABONDIA IBRAHIMU CLASS NA BAINA MAZOLA KUZIPIGA KESHO P.T.A SABASABA
Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akizungumza na vyombo vya habari mara baada ya kumaliza kupima kwa ajili ya kupigana kesho Agost 18 katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba kuzipiga na Baina Mazola 'Simba' Picha na SUPER D BOXING NEWS |
Bondia Baina Mazola akizungumza na vyomba vya habari baada ya kupima uzito kwa ajili ya kuzipiga kesho jumamoso agost 18 katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' Picha na SUPER D BOXING NEWS |
Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akizungumza na vyombo vya habari mara baada ya kumaliza kupima kwa ajili ya kupigana kesho Agost 18 katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba kuzipiga na Baina Mazola 'Simba' Picha na SUPER D BOXING NEWS Na Mwandishi Wetu MABONDIA Ibrahimu Class 'King Class Mawe' na Baina Mazola 'Simba' leo wamepima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika Agost 18 kesho jumamosi katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba mpambano uho wa raundi 8 akizungumza mara baada ya kupima uzito Class amesema yeye ni kiboko ya watoto wadogo ivyo ameamua kucheza na mazola ili amuoneshi kitu gani anafanya kwa kuwa ajacheza mda mrefu sana nchini Tanzania ivyo kuwaomba wapenzi wa mchezo wa ngumi kujitokeza kwa wingi ili kuja kushudia kazi yake nzuri waliyoikosa kwa mda mrefu nawa akikishia nitampiga raundi za awali kwani kwangu anma ujanja alisema class Nae Baina akijibu mapigo hayo amesema hizo ni mbwembwe mwisho wa siku yeye ndio anakuwa mshindi kwa kuwa yeye ni simba sitokubali kupigwa kirahisi kwani class ana maajabu ndio kwanza anakutana na kazi ngumu kutoka kwangu kwingine kote alikuwa anacheza na mabondia wachovyu nawaomba mashabiki mjitokeze kwa wingi ili mshudie ninavyo mchakaza class bila ya huruma alisema Mazola Mbali na mpambano uho kutakuwa na mapambano mengine yatakayo wakutanisha Mada Maugo na Charles Misanjo kutoka Malawi siku hiyo pia kutakuwa zikiuzwa DVD mpya za masumbwi ambazo zinaonesha mafunzo mbalimbali ya mchezo wa ngumi yanavyoanza hatua kwa hatua
|
Tuesday, August 14, 2018
KEKO FURNITURE NA GOMS UNITED SASA KUKUTANA KATIKA MASUMBWI SEPTEMBA 15 TAIFA
FRED SAYUNI |
Na Mwandishi Wetu
![]() |
Haidari Mchanjo |
Katika ali iliyo ya kawaida kwa mashabiki wa michezo baada ya kucheza mashindano ya mpira wa miguu yajulikanayo kama Ndondo Cup sasa timu za Goms United na Keko Furniture kukutana katika masumbwi ambapo Goms united inawakilishwa na bondia Haidari Mchanjo na KekoFurniture anatoka Fred Sayuni
Mabondia hawo wamesaini mkataba na watazipiga siku ya Septemba 15 katika ukumbi wa uwanja wa ndani wa Taifa Indoor Stadium akizungumza baada ya kusaini mkataba wa kuzipiga Sayuni amesema kama kawaida yake anawambia mashabiki wake wote wa Keko kuwa yupo vizuri na anajiandaa kushinda ushindi wa kishindo
ambapo kwa sasa anafanya mazoezi ya kutosha ili awafurahishe mashabiki wake ili waweze kumpa sapoti ya mana awze kuendelea na kipaji chake mbele zaidi
Nae Mchanjo amejinasibu kwa kusema Sayuni ni bondia wa zamani hivyo nitamfanyia kitu mbaya kama nilivyo mfanyia Cosmas Cheka mana nilimpiga kama begi nae afanye mazoezi ili nisije nikamuaibisha mbele ya mashabiki wake
nawaomba mashabiki wangu wote wale wa goms pamoja na viunga vyake waje kuangalia kazi nitakayofanya siku hiyo
Akizungumzia mpambano mratibu wa mapambano ya ngumi Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa siku hiyo kutakuwa na mapambano mbalimbali ya ngumi wakati Abdallah Pazi 'Dula Mbabe' atazipiga na Geoger Dimoso na Vicent Mbilinyi atavaana na Saidi Mpoma 'Kidedea' wakati Mohamedi Kashinde atakumbana na Sadiki Momba na Imani Daudi ataoneshana umwamba na Paul Kamata
Na mpambano mwingine utawakutanisha Faraji Sayuni na Issa Nampepeche Ramadhani Shauri atakumbana na Said Amani wakati Mwinyi Mzengela atakumbana na Kassimu Rajabu 'Boxer Mnyama' Saidi Zungu na Tonny Rashidi
mapambano hayo yameandaliwa na kampuni ya ngumi za kulipwa ya Super D Boxing Promotion inayoendelea kuinuwa vipaji vya mabondia mbalimbali nchini ili kujikuzia kipato na kujiweka nafasi nzuri kwa mabondiakucheza kula wakati
Monday, August 13, 2018
BONDIA VICENT MBILINYI KUPAMBANA NA SAIDI KIDEDEA SEPTEMBA 15 UWANJA WA NDANI WA TAIFA
Mabondia Saidi Mpoma 'Kidedea' kushoto akitunishiana misuli na Vicent Mbilinyi baada ya kusaini mkataba wa kuzichapa Septemba 15 katika uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS |
Mabondia Saidi Mpoma 'Kidedea' kushoto akitunishiana misuli na Vicent Mbilinyi baada ya kusaini mkataba wa kuzichapa Septemba 15 katika uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS Na Mwandishi Wetu BONDIA Vicent Mbilinyi amesaini mkataba wa kuzipiga na Saidi Mpoma 'Kidedea' septemba 15 katika uwanja wa ndani wa Taifa akizungumza mara baada ya kusaini mkataba uho mbilinyi amesema kuwa atafanya mazoezi ya kutosha ili aweze kushinda kwa kuwa ngumi kwake ni kazi kazi na kuwataka mashabiki wake wote kujitokeza siku hiyo kushudia mpambano uho kwani ato waangusha amejipanga vizuri Nae Saidi Kidedea amesema anashukuru kwa kupata mpambano uho kwana yeye siku zote achaguwi mabondia kwake yoyote anaekuja mbele yake kazi anayo na amepanga kummaliza mpinzani wake katika raundi za awali ili asiwachoshe mashabiki anao wategemea aidha ameomba wapenzi wa mchezo wa masumbwi waje kumsapoti kwani ato wahangusha ata kidogo Na mratibu wa mpambano huo Rajabu Mhamila 'Super D' amesema siku hiyo kutakuwa na mapambano makubwa ambapo bondia Fred Sayuni atapambana na Haidari Mchango wakati George Dimoso atavaana na Abdallah Pazi 'Dulla Mbabe' na Imani Mapambano ataoneshana umwamba na Paul KamataSadiki Momba atavaana na Mohamed Kashinde na bondia machachari Tonny Rashidi atavaana na Said Zungu Ramadhani Shauri atakumbana na Saidi Amani Mbali na mipambano hiyo ya ngumi siku hiyo pia kutakuwa na burudani mbali mbali za muziki |
Subscribe to:
Posts (Atom)