Tangazo

Pages

Saturday, May 5, 2018

BONDIA IDD MKWERA ALIVYO MSAMBALATISHA RAMADHANI SHAURI MEI 4 TAIFA

Bondia Ramadhani Shauri kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde  na Idd Mkwera wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa uwanja wa ndani wa Taifa mei 4 Mkwera alishinda kwa K.O ya raundi ya 9 Picha na SUPER D BOXING NEWS
Ramadhani Shauri na Idd Mkwera wakipambana

kati kazi ikiendelea

Bondia Idd Mkwera kushoto akipambana na ramadhani Shauri wakati wa mchezo wao uliofanyika mei 4 katika uwanja wa ndani wa Taifa Mkwera alishinda K.O ya raundi ya 9 Picha na SUPER D BOXING NEWS


Bondia Idd Mkwera kushoto akipambana na ramadhani Shauri wakati wa mchezo wao uliofanyika mei 4 katika uwanja wa ndani wa Taifa Mkwera alishinda K.O ya raundi ya 9 Picha na SUPER D BOXING NEWS


Kazi kazi kazi ya kutupiana makonde kati ta Ramadhani Shauri kushoto na Idd Mkwera kulia walivyokutana katika mpambano wao wa raundi kumi ata hivyo Mkwera alishinda K.O ya raundi ya 9 Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Ramadhani Shauri akiwa nyakanyaka baada ya kushambuliwa na makonde ya Idd Mkwera wakati wa mpambano wao wa raundi kumi hapo refa John Chagu akimwesabia Mkwera alishinda kwa K.O ya raundi ya 9  Picha na SUPER D BOXING NEWS

REFA JOHN CHAGU AKIMWAMLISHA BONDIA IDD MKWELA AENDE KWENYE KONA NYEUPE APATE KUMUHESABIA RAMADHANI SHAURI KUSHOTO



No comments:

Post a Comment