Tangazo

Pages

Tuesday, October 13, 2015

BONDIA FRANSIC CHEKAS ANYAKUWA TUZO YA JK


Francis Cheka akipokea Tuzo yake
Tuzo zimetolewa kwa wanamichezo waliofanya vizuri katika kipindi cha miaka kumi, viongozi waliochangia kuinua michezo katika kipindi cha miaka kumi Tuzo 5 na Tuzo ya heshima kwa Mh Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa kuheshimu mchango wake katika kuinua michezo wakati wa utawala wake, baadhi ya waliopewa Tuzo usiku wa October 12 ni Francis ChekaMbwana SamattaIddi KipinguAbdallah Majura na Hashim Thabiti

1 comment: