Tangazo

Pages

Wednesday, July 22, 2015

MBILINYI ALIVYOPAMBANA NA HONGO

Bondia Khalidi Hongo kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Vicent Mmbilinyi wakati wa mpambano wao uliofanyika Bagamoyo mwishoni mwa wiki iliyopita mpambano uho ulimalizika kwa kutoka sare Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Vicent Mmbilinyi kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Khalidi Hongo wakati wa mpambano wao uliofanyika Bagamoyo mwishoni mwa wiki iliyopita mpambano uho ulimalizika kwa kutoka sare Picha na SUPER D BOXING NEWS

No comments:

Post a Comment