Bondia Floyd Mayweather JR Jana Alianza Rasmi Maisha ya Siku 90 Jela Mjini Las Vegas kwa kosa la Uzalilishaji Bondia huyo ambaye ajapoteza ata pambano moja tanga aanze ngumi za kulipwa ALIWASILI JELA AKISINDIKIZWA NA NYOTA WA MZIKI WA HIPOP 50 CENT ,
50 CENT alisema Mayweather ambaye anashikilia taji la WBC katika uzito wa Welter atokuwa salama katika geleza la Clark County Detention Center mjini Nevada
Mayweather aliukumiwa kifungo Desemba mwaka jana baada ya kukutwa na kosa la kumshambulia mpenzi
No comments:
Post a Comment