Tangazo

Pages

Thursday, October 22, 2015

BONDIA LULU KAYAGE AZIDI KUJIFUA KWA AJILI YA MAPAMBANO YA KITAIFA NA KIMATAIFA

Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' akimnowa bondia Lulu Kayage wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa na mpambano wake wa kugombania mkanda wa taifa desemba 25 na bondia Mwanne Haji mpambano utakaofanyika mkoa wa Morogoro katika uwanja wa jamuhuri picha na SUPER D BOXING NEWS



BONDIA LULU KAYAGE
Bondia Lulu Kayage kushoto akielekezwa na kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi Rajabu Mhamila 'Super D'  jinsi ya kupiga ngumi za mkunjo wa chini 'upcut' ambazo zinapigwa mbavuni Kayage anajiandaa na mipambano yake mbalimbali ya kitaifa na ya kimataifa picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' akimnowa bondia Lulu Kayage wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa na mpambano wake wa kugombania mkanda wa taifa desemba 25 na bondia Mwanne Haji mpambano utakaofanyika mkoa wa Morogoro katika uwanja wa jamuhuri picha na SUPER D BOXING NEWS

Na Mwandishi Wetu

BONDIA wa kike Lulu Kayage ameingia kambini kwa ajili ya mapambano yake ya kimataifa na kitaifa yatakayo mkabili siku za usoni bondia huyo ambaye ana uchu wa kufika mbali katika mchezo wa masumbwi nchini

ambapo Desemba 25 ata pambana na bondia Mwanne Haji kugombania ubingwa wa taifa katika mpambano wa raundi kumi utakao fanyika katika uwanja wa jamuhuri Morogoro

bondia huyo aliye onesha hudhubutu wa kumtwanga Winnie Mphahlele wa Afrika ya kusini mpambano uliofanyika Town Hall, katika mji wa Limpopo, South Africa kwa T.K.O ya raundi ya tatu kwenye mpambano wa raundi sita amekuwa tishio katika ukanda wa afrika na anataka kudhilisha kuwa yeye ni zaidi ya mabondia wengine

bondia huyo anaenolewa na jopo la makocha likiongozwa na Habibu Kinyogoli 'Masta' uku kocha na mshauli wa karibu wa bondia huyo akiwa ni Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye anaratibu mapambano mbalimbali ya bondia huyo ndani na nje ya nchi

Kayage ametamba kumsambalatisha mwanne Haji kama alivyo mfanya mkaburu wakati wa mpambano wake uliofanyika agost 9 uko afrika ya kusini na kuendeleza ubabe wake

na kocha Rajabu Mhamila 'Super D' aliongeza kwa kusema Lulu ana moyo wa mazoezi na anajituma hivyo watanzania watambue wamepata mwokozi atakaeleta furaha katika mioyo yao na kuipeperusha vema bendera ya taifa nchini kwa kuwa nia anayo uwezo anawo

MASHALI AMDUNDA BIGRIGHT NA KUMPORA SIMU NA PESA


Bondia Thomas mashale wa manzese jijini Dar es salaam alifanya kitendo cha kusikitisha na kushangaza umma katika ukumbi wa friends corner uliopo Manzese ,pale alipomvamia katibu wa ngumi za kulipwa nchini Ibrahim Kamwe (bigright) kumpiga na kumpora simu na pesa. Akizungumza na vyanzo habari hizi Ibrahim kamwe alisema.” Nilikuwepo ukumbini  hapo friends corner nikishuhudia mpambano wa jonas segu na idd pearali kwa kuwa watu walikuwepo ni wengi mno na pale mbele kulikuwa na fujo za ushangiliaji  nikaona ni bora nirudi nyuma kabisa ili nishuhudie kwa mbali , ghafla alitokea bondia huyo Thomas mashali akiwa na wenzake wanne akanishika mikono na wenzake kuanza kunisachi nilimputa mikono ili nizuie mifuko ndipo aliponipiga ngumi kali ya kidevuni na kichwani, watu walio karibu walipotugeukia sisi mashali na wenzake waliondoka haraka na kutokomea na simu yangu na kipochi  akiniacha na maumivu ya kidevu.
Nilichokifanya ni kuripoti polisi na kupewa pf3 na RB ili sheria ifuate mkondo wake.
Watu wengi waliokuwepo hapo ukumbini walisikitishwa na vitendo vya  bondia huyo kwa kuwa na matukio kama hayo mfululizo bila kujali anaowafanyia ni kina nani kwani hivi karibuni alimzuia kiongozi aliyekuwa akisafiri na bondia said mundi kuelekea nchini Thailand kwa kumshikia chupa na wenzake wakiwa na visu na kuwapora simu na pesa, bondia huyo wa tanga said mundi na Anthony ruta walikuwa wapole kwani tukio hilo alilifanya muda mchache kabla ya kuelekea airport.
Thomas mashali ni mwingi wa matukio kama hayo hasa maeneo ya manzese aliapa kujirekebisha kwa tabia hizo za ukabaji  lakini inaonekana amerudi kivingine sasa hata kwa watu anaowajua. Anafuatiliwa ili sheria ishike mkondo wakee

BONDIA LULU KAYAGE AZIDI KUJIFUA KWA AJILI YA MAPAMBANO YA KITAIFA NA KIMATAIFA

Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' akimnowa bondia Lulu Kayage wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa na mpambano wake wa kugombania mkanda wa taifa desemba 25 na bondia Mwanne Haji mpambano utakaofanyika mkoa wa Morogoro katika uwanja wa jamuhuri picha na SUPER D BOXING NEWS



BONDIA LULU KAYAGE
Bondia Lulu Kayage kushoto akielekezwa na kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi Rajabu Mhamila 'Super D'  jinsi ya kupiga ngumi za mkunjo wa chini 'upcut' ambazo zinapigwa mbavuni Kayage anajiandaa na mipambano yake mbalimbali ya kitaifa na ya kimataifa picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' akimnowa bondia Lulu Kayage wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa na mpambano wake wa kugombania mkanda wa taifa desemba 25 na bondia Mwanne Haji mpambano utakaofanyika mkoa wa Morogoro katika uwanja wa jamuhuri picha na SUPER D BOXING NEWS

Na Mwandishi Wetu

BONDIA wa kike Lulu Kayage ameingia kambini kwa ajili ya mapambano yake ya kimataifa na kitaifa yatakayo mkabili siku za usoni bondia huyo ambaye ana uchu wa kufika mbali katika mchezo wa masumbwi nchini

ambapo Desemba 25 ata pambana na bondia Mwanne Haji kugombania ubingwa wa taifa katika mpambano wa raundi kumi utakao fanyika katika uwanja wa jamuhuri Morogoro

bondia huyo aliye onesha hudhubutu wa kumtwanga Winnie Mphahlele wa Afrika ya kusini mpambano uliofanyika Town Hall, katika mji wa Limpopo, South Africa kwa T.K.O ya raundi ya tatu kwenye mpambano wa raundi sita amekuwa tishio katika ukanda wa afrika na anataka kudhilisha kuwa yeye ni zaidi ya mabondia wengine

bondia huyo anaenolewa na jopo la makocha likiongozwa na Habibu Kinyogoli 'Masta' uku kocha na mshauli wa karibu wa bondia huyo akiwa ni Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye anaratibu mapambano mbalimbali ya bondia huyo ndani na nje ya nchi

Kayage ametamba kumsambalatisha mwanne Haji kama alivyo mfanya mkaburu wakati wa mpambano wake uliofanyika agost 9 uko afrika ya kusini na kuendeleza ubabe wake

na kocha Rajabu Mhamila 'Super D' aliongeza kwa kusema Lulu ana moyo wa mazoezi na anajituma hivyo watanzania watambue wamepata mwokozi atakaeleta furaha katika mioyo yao na kuipeperusha vema bendera ya taifa nchini kwa kuwa nia anayo uwezo anawo

Saturday, October 17, 2015

BONDIA VICENT MBILINYI AMPIGIA MIKWALA DEO NJIKU KUPAMBANA DESEMBA 25

BONDIA VICENT MBILINYI


Na Mwandishi Wetu

BONDIA Vicent Mbilinyi amesaini mkataba wa kuzipiga na Deo Njiku wa Morogoro siku ya Desemba 25 katika uwanja wa jamuhuri morogo wakisindikiza mpambano wa Fransic Cheka na Thomasi Mashali mpambano uho wa raundi sita

utakuwa wa kwanza kwa bondia Mbilinyi kucheza mkoa wa morogoro akizungumzia mpambano huo bondia huyo amesema kuwa anamjua mpinzani wake vizuri kutokana na ukongwe wake kwa kuwa alianza zamani kupigana ata hivyo mimi nina jiamini na nitamkalisha katika raundi za awali

bondia huyo alieweka kambi yake mkoa wa pwani maeneo ya Kibaha ambapo ameweka kambi yake kwa ajili ya mpambano huo
bondia huyo anaefundishwa na Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi ncini Rajabu Mhamila 'Super D' amejizatiti kumtwanga vizuri tu Deo njiku ili ajisafishie njia ya kuwa bingwa wa mchezo wa masumbwinchini

nae Kocha wake Rajabu Mhamila 'Super D;' aliongeza kwa kusema kuwa ana matumaini na bondia wake kwa kuwa na rekodi nzuri ya mchezo ambapo mpaka sasa amecheza michezo 7 kashinda 5 droo 1 na kupoteza 1 kwa rekodi hiyo bondia huyo ana uchu wa kubaki kileleni na kuendeleza kichapo kwa kila bondia anaekutana nae


















MABONDIA YONAS SEGU NA IDI PIALALI WAPIMA KUZITO KUZIPIGA KESHO JUMAPILI



Mratibu wa mpambano wa masumbwi Antony Rutta Katikati akiwainuwa mikono juu mabondia Yonas Segu kushoto na Idi Pialali kwa ajili ya mpambano wao wa jumapili hii katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaam Picha na SUPERD BOXING NEWS

Bondia Yonas Segu kushoto akitunishiana misuli na Idi Pialali mara baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa kesho jumapili utakaofanyika katika ukumbi wa Frends corner Manzese Dar es salaam Picha na SUPERD BOXING NEWS
Bondia Ismail Ndende kushoto akitambiana na Mwinyi Mzengela baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao kesho jumapili Picha na SUPERD BOXING NEWS

RAJABU MHAMILA SUPER D KOCHA WA MCHEZO WA MASUMBWI NA MUZAJI WA VIFAA VYA NGUMI

RAJABU MHAMILA SUPER D KOCHA WA MCHEZO WA MASUMBWI NCHINI MUZAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI MSAMBAZAJI WA DVD ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NDONDI AMBAYE ANAJISHUGHULISHA NA UZAJI WA VIFAA VYA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO YA NGUMI NA MAZOEZI YA AINA MBALI MBALI ANAPATIKANA KARIAKOO UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM TANZANIA MAWASILIANO 0787406938 NA 0754406938

RAJABU MHAMILA SUPER D

KOCHA WA KIMATAIFA WA MCHEZO WA MASUMBWI NCHINI RAJABU MHAMILA SUPER D

RAJABU MHAMILA SUPER D KOCHA WA MCHEZO WA MASUMBWI NCHINI MUZAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI MSAMBAZAJI WA DVD ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NDONDI


RAJABU MHAMILA SUPER D KOCHA WA MCHEZO WA MASUMBWI NCHINI MUZAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI MSAMBAZAJI WA DVD ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NDONDI PIA NI MWANA HARAKATI WA MICHEZO



RAJABU MHAMILA SUPER D KOCHA WA MCHEZO WA MASUMBWI NCHINI MUZAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI MSAMBAZAJI WA DVD ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NDONDI

BONDIA SEBA TEMA ASAINI KUZIPIGA NA PIUS KAZAULA DESEMBA 25 MOROGORO

Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila akimkabidhi mkataba bondia Seba Temba baada ya kutia saini ya makubaliano ya kupambana na Pius Kazaula mpambano utakaofanyika desemba 25 katika uwanja wa Jamuhuri Morogoro Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Seba Temba kushoto akitia saini katika mkataba wake kwa ajili ya kupambana na Pius Kazaula mpambano utakaofanyika Desemba 25 katika uwanja wa Jamuhuri Morogoro Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Seba Temba kushoto akitia saini katika mkataba wake kwa ajili ya kupambana na Pius Kazaula mpambano utakaofanyika Desemba 25 katika uwanja wa Jamuhuri Morogoro Picha na SUPER D BOXING NEWS


RAJABU MHAMILA 'SUPER D'

RAJABU MHAMILA 'SUPER D'

KOCHA WA KIMATAIFA WA MCHEZO WA MASUMBWI NCHINI RAJABU MHAMILA 'SUPER D'

Tuesday, October 13, 2015

BONDIA FRANSIC CHEKAS ANYAKUWA TUZO YA JK


Francis Cheka akipokea Tuzo yake
Tuzo zimetolewa kwa wanamichezo waliofanya vizuri katika kipindi cha miaka kumi, viongozi waliochangia kuinua michezo katika kipindi cha miaka kumi Tuzo 5 na Tuzo ya heshima kwa Mh Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa kuheshimu mchango wake katika kuinua michezo wakati wa utawala wake, baadhi ya waliopewa Tuzo usiku wa October 12 ni Francis ChekaMbwana SamattaIddi KipinguAbdallah Majura na Hashim Thabiti

Monday, October 5, 2015

BONDIA LULU KAYAGE AJIFUA KWA AJILI YA MPAMBANO WA DESEMBA 25

Bondia Lulu Kayage kushoto akielekezwa jinsi ya kutupa makonde na kocha Hamisi Belege wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya ngumi Ilala

Bondia Lulu Kayage kushoto akielekezwa jinsi ya kutupa makonde na kocha Hamisi Belege wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya ngumi Ilala